Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Ni utu uzima tu, hata wewe utakapozeeka uatapata sura ya kutisha, na wajukuu wanaweza kukukimbia; na baadhi ya majirani wataweza kukuita mchawi. Ni mapito ya maisha tu ndugu yangu. Lakini kumbuka, ng'ombe hazeeki maini.
Mh ila nahisi kuna watu wamezaliwa na sura kama za ina Kibaki aisee