Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 2,398
- 3,071
Kwanini asivae suti kali?
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokazia
Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇
Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokazia
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.