Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
wengi wanaoanzisha hivyo vituo ni dealers wa madawa ya kulevya na wamejificha kwenye hiyo biashara.serikali bado ipo aidha gizani au inajua kabisa nn kinaendelea kwenye biashara ya mafuta.wengi walioko kwenye hiyo biashara ni wanasiasa na wamejificha huko ndo maana hata kwenye hizo chaguzi za ccm wamepenya wengi ili wasijulikane.Asee kati ya dar na chalinze vituo vya mafuta vinaota kama uyoga.
fanya tatifi mjomba usikurupuke tu kusema,huenda umejifungia sehemu moja lkn hujaona upande wa pili.Mbona hivi vituo vimeanza kuota wakati wa Magufuli au wenzetu mmeamua kujitoa ufahamu? We need to think beyond.. ni vzr tungepata taarifa za ndani sio hizi blah blah mnazokuja nazo
Hebu tupatie sababu ya ndani mkuufanya tatifi mjomba usikurupuke tu kusema,huenda umejifungia sehemu moja lkn hujaona upande wa pili.
And vice versa is true!!1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Kwani we hutaki watu wawekeze ili vijana kwa miaka mitano ya jpm bila ajira nao wapate ajira? Aise huu wivu ni wa kiwango Cha juu sana1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Snitch1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Ushahama kwa shemeji?1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.