How could he rest in peace! Alikuwa anadondosha watu kwa siku moja kama mia sita hivi kwa bunduki baada ya kuanza kupingwa! Huyu ni moja ya majambazi yaliyopata kuongoza nchi! Usiamini maneno yake ya umoja na kwamba nitawapa helaa!Baba wa umoja wa Afrika, ambaye Afrika ilishindwa kuona alichokiona.
R. I. P.
mbadala wake yuko tz na si mwingine ni MAGUFULI
Soma hapo juu umejibiwaKwa karne hii si dhani kama atakuja kiongozi amfikie huyu jamaa..
Source of info?How could he rest in peace! Alikuwa anadondosha watu kwa siku moja kama mia sita hivi kwa bunduki baada ya kuanza kupingwa! Huyu ni moja ya majambazi yaliyopata kuongoza nchi! Usiamini maneno yake ya umoja na kwamba nitawapa helaa!