kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,116
Kumbe Mshana kuna cku unawazaga haya na ww
Hahhaha utakuwa hukogi wweaiseeee......mshana bhanaaa......yani hata kama nlitumia mpira?
[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
Braza angu wewe na emojis dam dam... Heri ya mwaka mpya bwana.. Ukiwa mjini usisahau nicheki please[emoji4][emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji121] [emoji121] [emoji121]
Thanks Samaritan you always have very nice replies.. Happy new year prior timemshana jr ameileta hii mada kimasihara lakini inaumuhimu sana.
Imefanya nijiulize kwanini kuna watu wengi wanakua na mafanikio au kukubalika sana wakiwa shule au kabla ya kuanza kujihusisha na mahusiano... Baada ya kuanza kuonjaonja wanapoteza kabisa hiyo hali. Nikakumbuka ndio maana Biblia inasema ukikutana na kahaba ukalala nae unafungwa nae inakua kama mke wako, puga picha unachukua mambo ya msururu wa watu wote waliowahi kuwa nae..
Mimi naongezea kwamba, sio tu wakumbuke kuoga, watafakari madhara yatokanayo na kujihusisha na mtu kabla ya kuamua kupiga kazi. Kuna vitu havitoki hata ukioga
Niwatakie heri ya mwaka mpya 2018
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] mjini sifiki mwisho mail moja.... Naweza kuja nisirudi Msata kilingeni
Hahahhaha kuanzia kibamba apo mpaka kigamboni[emoji85] [emoji85]Aah ndugu yangu acha tu nyoka wenye makengeza wametanda huko
Weeee kuna kitu unakitafuta! Haaaah. Haaaah.kutoa janaba ndo nini !hahahaha lol
Amekuudhi nini ??.Mambo mengine ni ya ajabu sana,endelea na tabia zako nadhani hauko Moshi
Acha uchocheziWakumbuke kutubu pia.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji781] [emoji779] [emoji121] [emoji85]