Ila kama umeoa kama mimi naomba usitumie kale kasabuni (eva)...Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
Ni sheeeeeedaTutaona mengi mwaka huu piah msisiahau kabla ya kugegeda mkumbuke kuoga piah
[emoji3] [emoji3] hivi hutu tusabuni ni kwamba they are cheap au ndio mwongozo kuwa guest house ziwepo hizo tu, nilienda Zanzibar nikahisi nitakuta aina nyingine dah! Kuingia washroom nakakuta faster ikabidi nikanunue nyingine.Ila kama umeoa kama mimi naomba usitumie kale kasabuni (eva)...
Ni member mwenzako wa JF mkuu?[emoji53][emoji53][emoji53]![]()
Sawa tutaoga
NdioNi member mwenzako wa JF mkuu?[emoji53][emoji53][emoji53]
Tupia ID yake hapa please nami rohoo yangu itapona![emoji53][emoji53][emoji53]Ndio
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Tutaona mengi mwaka huu piah msisiahau kabla ya kugegeda mkumbuke kuoga piah
HaaahaahaNi sheeeeeeda