dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,476
- 2,086
Aisee!Tutaona mengi mwaka huu piah msisiahau kabla ya kugegeda mkumbuke kuoga piah
Hili lako lamsingi na sekondari, pia chuo humohumo.
Umenifanya nikutamani ghafla.
Aisee!Tutaona mengi mwaka huu piah msisiahau kabla ya kugegeda mkumbuke kuoga piah
Kale kasabuni 'nyoko'?Ila kama umeoa kama mimi naomba usitumie kale kasabuni (eva)...
Bulaza,[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..... Yoko yako wewe
Unachuma dhambi tu.dah kuna manzi tulifanya foreplay tu lakini kilichotokea siwezi kusahau nilikuwa natembea sina kitu mfukoni kama wiki mbili hv au zaidi....mpaka kesho sijawahi kumtafuta.
Aisee!Muhudumu leta pombe
Ukaribu wako na Ibilisi ni hauna mashaka.MI hupendelea sana ile harufu itokanayo na kugegedana na kama mwanamke hana hiyo basi huenda tusidumu kabisa
Wakumbuke kutubu pia.Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
Nadhani utakua si Muislam,fanya ivi pendelea sana kuoga baada ya kufanya mapenzi hata kama na mumeo/mkeo/mpenzi wako...kutoa janaba ndo nini !hahahaha lol
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji39] [emoji39] Kasie hebu fanya Tukutane maili moja lelo
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji121] [emoji121] [emoji121]Mshana sijui kuna mtu humu kaniwekea uzito, yaani kila nikisema leo nipange kuja huko kitu kingine kinatokea. Waonaje tubadili tukutane mjini badala ya maili moja? Halafu na hii ashikii sijui kumbato litadumu kwa sekunde ngapi..... hehehehhe
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji121] [emoji121] [emoji121]