Kumbukeni kuoga mkimaliza....

Kumbukeni kuoga mkimaliza....

20e92e7f820d920ea88e63b310572040.jpg


Sawa tutaoga
Threesome nini? Mbona vitanda viwili
 
Kama ndivyo hivi itakuwa hadi kwenye kushikana mikono napo ni hatari lazima kunawa.
 
Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] kumbe
 
kutoa janaba ndo nini !hahahaha lol
Kutoa jasho baya mwilini, unatawdha kama, kama wanavyofanya ukitaka kuingia, msikitini ukimaliza unajimwagia mwilini makopo matatu ya maji, huku kuna maneno unatamka ya dua la kuondoa, hilo jasho baya mwilini maarufu kama janaba.
 
Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
Unawaambia nini wale wa kule home wanaomaliza mchongo migombani. Mwaka msha
 
Itapendeza watembee na chupa ya maji kubwa Pare drinking water. Maana viwanda vya maji huko ni vingi.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Jr[emoji769]
 
Kutoa jasho baya mwilini, unatawdha kama, kama wanavyofanya ukitaka kuingia, msikitini ukimaliza unajimwagia mwilini makopo matatu ya maji, huku kuna maneno unatamka ya dua la kuondoa, hilo jasho baya mwilini maarufu kama janaba.
duh!kazi kweli kweli !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom