Kumbukeni kuoga mkimaliza....

Kumbukeni kuoga mkimaliza....

20e92e7f820d920ea88e63b310572040.jpg


Sawa tutaoga

Mbona hamna nguo za kike wala kitanda hakijavurugwa na masarakasi? Maana hapo wazama chumvini ungekuta mashuka na mito vyote viko chini na maganda ya kondomu yako kichwanikwa demu
 
Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
Hivi bado kuna watu wanazini hovyo hovyo na kila wanaekutana hata hawamjui?
Tabia ya kizamani sana na ya kishamba sana hiyo
Kuzini na MTU wako unaemjua mnajuana angalau iko kisasa zaidi
 
Hivi bado kuna watu wanazini hovyo hovyo na kila wanaekutana hata hawamjui?
Tabia ya kizamani sana na ya kishamba sana hiyo
Kuzini na MTU wako unaemjua mnajuana angalau iko kisasa zaidi
Ndio kwanza imekuwa uptodated
 
Mbona hamna nguo za kike wala kitanda hakijavurugwa na masarakasi? Maana hapo wazama chumvini ungekuta mashuka na mito vyote viko chini na maganda ya kondomu yako kichwanikwa demu
Na rays [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji573]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom