Kumbukeni kuoga mkimaliza....

Kumbukeni kuoga mkimaliza....

dah kuna manzi tulifanya foreplay tu lakini kilichotokea siwezi kusahau nilikuwa natembea sina kitu mfukoni kama wiki mbili hv au zaidi....mpaka kesho sijawahi kumtafuta.
Linaitwa gundu dume[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
duu asee kweli Enzi hizo nacheza mpira wa ligi kuu ,nilikutana na mtu siku ya mechi ,nikawa niko bench ile kuingia kipindi cha pili ,mpira wa kwanza wa kona ,red card ,eti nimemgonga kipa
 
Ila kama umeoa kama mimi naomba usitumie kale kasabuni (eva)...
IMG_20171212_101437.jpg
 
Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
Mmmm mshana Jr, [emoji35] [emoji35]
 
Kuna baadhi mnasoma msg hii mkiwa gesti house na michepuko.... Nawakumbusha tu msisahau kuoga na kutoa mijanaba yenu si kila mtu unayengonoka naye ni binadamu wa kawaida.. Wengine ni majini, wengine ni mashetani, wengine ni wachawi.. Ukioga unapunguza risk za nuksi na kubeba yasiyobebeka[emoji12] [emoji30] [emoji15]
Yaani Mshana baba [emoji28] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Yaani Mshana baba [emoji28] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hivi Kwenye mambo yetu yale ya tabibu za kimila hakuna Test ya kucheck gundu kabla hujagegeda? according to experience ya miongo kadhaa ya mambo ya mila na utamadun..@Mshana Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom