ambiwa ni mambo za Obagi hizoooo.............
Watu wana roho mbaya! ukute yeye alimtumia "baby wake" kisha ikaenda from phone to phone hadi kujikuta kwenye mitandao ya jamii. Sijui kama yeye mwenyewe angewezakuiweka public maana hata it is not to her advantage!but picha ya hivi kwenye public, naona kama si maadili
Huyu anahitaji mshauri..hajitambui hata thamani yake..
Akina dada na staili a kuonesha MANYO.NYO, mtatutia matatani.
but picha ya hivi kwenye public, naona kama si maadili
hahahaaa poleni sana.......raha ya kuonyesha nyonyo shurti nyonyo liwe linavutia........kama dodo mtini ati......!!!