Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
- Thread starter
- #1,001
Na wanaume je?Sijajiandaa kwa hilo,mwanamke ni kiumbe cha ajabu yaani,wanawake wanakuwa kama mtoto ambae huanza kunyonya pindi bado mchanga hajaota meno huwa hawezi mng'ata mama yake,ila atakapo ota meno hapo mama hun'gatwa tuu ,mwanamke mwanzo mpole ila badae mmmmh