Utapeli wa mapenzi unavyofanyika kwenye siku Valentine Day

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa,

Niende kwenye mada isemayo utapeli wa mapenzi unafanyika siku ya Valentine Day.

Kama mjuavyo mwezi huu wa pili tar 14 Huwa ni siku ya wapendanao.

Siku hii hiitwa Valentine Day na inaadhimishwa na Dunia karibu nzima.

Siku hii imekuwa ni ya tofauti yaani kwa mapokeo kwa wapendanao na wale ambao wanasaka wapenzi Bado.

Kwa wale ambao walio na wapenzi au ndoa, wao huitumia kukumbushana mapenzi na kupeana zawadi.

Hawa Sina habari maana wao Huwa ni sahihi kufanya hivyo.

Nipo na wale ambao wanatumia mwezi huu kutapeli wanawake kimapenzi.

Watu wengine ni Hawa ambao ni Hawa vidume wenye kiu na ngono.

Kama kuna kipindi ambacho wadada wanatumika ni hiki, maana wanaume washajua udhaifu ni vizawadi.

Basi wao hununua na kuwapelekea na kuwatafuna kama nyama choma.

Hapo ndipo utapeli unapoanza, maana wanaume wwanakuwa wanatumia Valentine Day kama utapeli kwa wanawake.

Mbaya zaidi wanawake hawajui, wakishatolewa tu mtoko na vizawadi kidogo wanajiachia chanuu.

Bado siku chache watu watapeliwe mapenzi na vidume vyenye kiu.

Siku hiyo nyumba za kulala wageni zinajaa balaa maana ndio wanapowatapelia.


Valentine Day siku ya wanaume kutapeli wanawake kimapenzi...
 
Hii dunia kweli ina watu wajinga kupitiliza. Hivi kuna mwanaume mwenye akili timamu anafikiria upuuzi unaoitwa sijui Valentine day?

Yaani uache kufikiria kuhusu maendeleo unahangaika na ujinga ujinga eti valentine?

Kwanza mwanaume anayesherehekea sijui siku ya kuzaliwa namuona kama shog,a maana hayo mambo ni ya kuiga tu hayana maana yoyote.
 
Kama unaamini upendo wa kweli upo siku ya valentine day kwa kupewa vizawadi na outings itoshe kusema bado safari ni ndefu sana.

Kuishi upendo wa kweli ni kila siku sio kungoja hadi valentine day.
 
Kama unaamini upendo wa kweli upo siku ya valentine day kwa kupewa vizawadi na outings itoshe kusema bado safari ni ndefu sana.

Kuishi upendo wa kweli ni kila siku sio kungoja hadi valentine day.
🤣🤣moto mnao....upendo hakuna sikuhizi hamnielewi
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa,

Niende kwenye mada isemayo utapeli wa mapenzi unafanyika siku ya Valentine Day.

Kama mjuavyo mwezi huu wa pili tar 14 Huwa ni siku ya wapendanao.

Siku hii hiitwa Valentine Day na inaadhimishwa na Dunia karibu nzima.

Siku hii imekuwa ni ya tofauti yaani kwa mapokeo kwa wapendanao na wale ambao wanasaka wapenzi Bado.

Kwa wale ambao walio na wapenzi au ndoa, wao huitumia kukumbushana mapenzi na kupeana zawadi.

Hawa Sina habari maana wao Huwa ni sahihi kufanya hivyo.

Nipo na wale ambao wanatumia mwezi huu kutapeli wanawake kimapenzi.

Watu wengine ni Hawa ambao ni Hawa vidume wenye kiu na ngono.

Kama kuna kipindi ambacho wadada wanatumika ni hiki, maana wanaume washajua udhaifu ni vizawadi.

Basi wao hununua na kuwapelekea na kuwatafuna kama nyama choma.

Hapo ndipo utapeli unapoanza, maana wanaume wwanakuwa wanatumia Valentine Day kama utapeli kwa wanawake.

Mbaya zaidi wanawake hawajui, wakishatolewa tu mtoko na vizawadi kidogo wanajiachia chanuu.

Bado siku chache watu watapeliwe mapenzi na vidume vyenye kiu.

Siku hiyo nyumba za kulala wageni zinajaa balaa maana ndio wanapowatapelia.


Valentine Day siku ya wanaume kutapeli wanawake kimapenzi...
Hii tabia ya kujitetea muonekane mnaonewa kwenye jamii tushashtuka!!

Kwani wakati tunaingiza Huwa ni chungu au tamu!!?kama ni chungu mbona tukichomoa Huwa mnang'ang'ania!!?SI mngekua mnakimbia Kwa Kasi Toka site!!?

Hii dhana ya mnaonewa nitaendelea kuipinga,ule utamu ni WA wote na ingekua vizuri na nyie mngakua mnaugharamia coz ni utamu kama utamu!!

Kujidogosha Ili uonekane eti mnaliwa,mnatapeliwa ni kututwisha mzigo was lawama ambao hatuhusiki,yaani tunawalisha,lodge tunalipia Hadi Kodi ya nyumba na Bado tukifika site unaweza Kuta sisi ndio tunakukuruka ku pump ili mafuriko yaje halafu eti tunawaonea tunawatapeli hii mentality itaisha lini vichwani mwenu nyie!!!?

Ondoeni hii kitu mnaweza para ukombozi was kifikra!!
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa,

Niende kwenye mada isemayo utapeli wa mapenzi unafanyika siku ya Valentine Day.

Kama mjuavyo mwezi huu wa pili tar 14 Huwa ni siku ya wapendanao.

Siku hii hiitwa Valentine Day na inaadhimishwa na Dunia karibu nzima.

Siku hii imekuwa ni ya tofauti yaani kwa mapokeo kwa wapendanao na wale ambao wanasaka wapenzi Bado.

Kwa wale ambao walio na wapenzi au ndoa, wao huitumia kukumbushana mapenzi na kupeana zawadi.

Hawa Sina habari maana wao Huwa ni sahihi kufanya hivyo.

Nipo na wale ambao wanatumia mwezi huu kutapeli wanawake kimapenzi.

Watu wengine ni Hawa ambao ni Hawa vidume wenye kiu na ngono.

Kama kuna kipindi ambacho wadada wanatumika ni hiki, maana wanaume washajua udhaifu ni vizawadi.

Basi wao hununua na kuwapelekea na kuwatafuna kama nyama choma.

Hapo ndipo utapeli unapoanza, maana wanaume wwanakuwa wanatumia Valentine Day kama utapeli kwa wanawake.

Mbaya zaidi wanawake hawajui, wakishatolewa tu mtoko na vizawadi kidogo wanajiachia chanuu.

Bado siku chache watu watapeliwe mapenzi na vidume vyenye kiu.

Siku hiyo nyumba za kulala wageni zinajaa balaa maana ndio wanapowatapelia.


Valentine Day siku ya wanaume kutapeli wanawake kimapenzi...
Hii ni kwa Tanzania pekee kwa sababu ya kuiga mambo bila kujua (ulimbukeni). Wabongo wengi wanadhani ni sikukuu ya kufanya ngono.
 
Kama unaamini upendo wa kweli upo siku ya valentine day kwa kupewa vizawadi na outings itoshe kusema bado safari ni ndefu sana.

Kuishi upendo wa kweli ni kila siku sio kungoja hadi valentine day.
Ulimbukeni wa wabongo kuiga vitu bila kujua maana. Valentine kwa Bongo ina maana nyingine kabisa ukilinganisha ni sehemu nyingine. Hata birthday wengi wanasherehekea kilimbukeni tu, wanai-complicate kuliko hata wazungu wenyewe.
 
Hii dunia kweli ina watu wajinga kupitiliza. Hivi kuna mwanaume mwenye akili timamu anafikiria upuuzi unaoitwa sijui Valentine day?

Yaani uache kufikiria kuhusu maendeleo unahangaika na ujinga ujinga eti valentine?

Kwanza mwanaume anayesherehekea sijui siku ya kuzaliwa namuona kama shog,a maana hayo mambo ni ya kuiga tu hayana maana yoyote.
Broh nadhani unachanganya life style Yako na za wengine.

Kuhusu kutafuta hela au kufanya issue za maendeleo, ndani ya mwaka wenye siku 365 hiyo valentine day ni siku moja tu haiwezi kukurudisha nyuma. Alafu kingine mkuu, hela zinatafutwa lakini mwili nao unahitaji mapumziko, na tunaposema kupumzisha mwili na akili haimaanishi kulala tu, zingatia social life.

Na kuhusu issue za birthday hiyo pia ni social life, it's not a crime.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa,

Niende kwenye mada isemayo utapeli wa mapenzi unafanyika siku ya Valentine Day.

Kama mjuavyo mwezi huu wa pili tar 14 Huwa ni siku ya wapendanao.

Siku hii hiitwa Valentine Day na inaadhimishwa na Dunia karibu nzima.

Siku hii imekuwa ni ya tofauti yaani kwa mapokeo kwa wapendanao na wale ambao wanasaka wapenzi Bado.

Kwa wale ambao walio na wapenzi au ndoa, wao huitumia kukumbushana mapenzi na kupeana zawadi.

Hawa Sina habari maana wao Huwa ni sahihi kufanya hivyo.

Nipo na wale ambao wanatumia mwezi huu kutapeli wanawake kimapenzi.

Watu wengine ni Hawa ambao ni Hawa vidume wenye kiu na ngono.

Kama kuna kipindi ambacho wadada wanatumika ni hiki, maana wanaume washajua udhaifu ni vizawadi.

Basi wao hununua na kuwapelekea na kuwatafuna kama nyama choma.

Hapo ndipo utapeli unapoanza, maana wanaume wwanakuwa wanatumia Valentine Day kama utapeli kwa wanawake.

Mbaya zaidi wanawake hawajui, wakishatolewa tu mtoko na vizawadi kidogo wanajiachia chanuu.

Bado siku chache watu watapeliwe mapenzi na vidume vyenye kiu.

Siku hiyo nyumba za kulala wageni zinajaa balaa maana ndio wanapowatapelia.


Valentine Day siku ya wanaume kutapeli wanawake kimapenzi...

Bila utapeli hakuna mwanamke utampata,utapeli umetupa utelezi hadi familia kuwa na heshima na utapeli ni nature.

Watu lazima wabanjuane mana hata wanawake nao wananyegezi pia ni win win situation.
 
Back
Top Bottom