Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 4,816
- 6,389
Baada ya kupokea haya majibu nilipigwa na butwaa na kujiuliza, inawezekanaje huyu mwamba amruhusu mke wake abaki na simu yake wakati yeye ni mgonjwa? Tena ametoka kunywa dawa za usingizi!!!
Karogwa au wamechagua tu kuaminiana kwenye ndoa yao?
Aisee kumbe wanaume waaminifu bado tupo, nilidhani nimebaki peke yangu .
Karogwa au wamechagua tu kuaminiana kwenye ndoa yao?
Aisee kumbe wanaume waaminifu bado tupo, nilidhani nimebaki peke yangu .