Kumbe upweke ni zaidi ya stress

Kumbe upweke ni zaidi ya stress

ERIK

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
623
Reaction score
315
Jamani Mnaweza kuhisi natania hapa ila kwa kweli upweke umenizidi, bora hata ningekuwa na ka sress kidogo ila sio huu upweke....

Wadada naombeni kampan zenu nimechokaa, Hizi ratiba za kazi nazo nadhan zinanibana kidogo nakosa time ya kukutana na nyie sehemu!

Nadhani na mazingira nayoishi pia ndyo maana naona JF itanisaidia saana

NB: age yangu ni 33yrs
 
Hahahaaa mkuu uko nchi gani huko kazi muda wote, karibu Tz hata usiku mwingi utapata dem, pia jitahidi kupitia mitandao ya kijamii huwezi kosa, usiwe sirious sana hata kazini kwako utapata, mkuu una fail wapi lakini

Sent using Jamii Forums mobile app

Nipo Tanzania, wanawake wapo wengi saana tatizo sio wote wana sifa sahihi
 
Jamani Mnaweza kuhisi natania hapa ila kwa kweli upweke umenizidi, bora hata ningekuwa na ka sress kidogo ila sio huu upweke....

Wadada naombeni kampan zenu nimechokaa, Hizi ratiba za kazi nazo nadhan zinanibana kidogo nakosa time ya kukutana na nyie sehemu!

Nadhani na mazingira nayoishi pia ndyo maana naona JF itanisaidia saana

NB: age yangu ni 33yrs
hakuna kazi yeyote utashindwa kuonana na wanawake. wanawake unapata katika mazingira hayo hayo uliyonayo
 
Back
Top Bottom