Kumbe upweke ni zaidi ya stress

Kumbe upweke ni zaidi ya stress

Hahahaaa mkuu uko nchi gani huko kazi muda wote, karibu Tz hata usiku mwingi utapata dem, pia jitahidi kupitia mitandao ya kijamii huwezi kosa, usiwe sirious sana hata kazini kwako utapata, mkuu una fail wapi lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee uko deep sana.... mpaka unanishawishi nikutake..Lol
 
Ivi ilemichepuko yako yote uliokuwanayo unashindwa kumconnectia hata mmoja 😂 iliupweke uishe mm najua ww hushindwi embu fanya hivyo chezesha hiyo puzzle hapo. 😊😊😊
ha ha ha wana garama kubwa mkuu;wanataka wajengewe pa kujiifadhi
 
Simple,
Ukiona una matatizo mengi, yaandike kwenye status baada ya masaa 24 yatapotea.

😎😎
 
Sasa kama kazi zina kubana huyo mpenz utakua na muda naye saa ngapi? au ndo unataka mtu ajage kuomba ushauri humu kuwa mpenz wake yuko bize hana mda na yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mapenzi yana nafasi yake na kubwa nakuwa busy muda wangu wa kazi haugiliana na mambo mengne
 
Back
Top Bottom