Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 455
Huu utaratibh Umeanza lini daah
Huo ndio uchumi wa viwonder
Roho yangu imeniuma Sana kwasababu siyo kwamba ukipost unapata wateja 😭Kodi ya Mama kizimkazi na hapa ipo.
DahHuo ndio uchumi wa viwonder
Zamani haikuwepo. Imeanza kama ina miezi mitatu hadi minne.Toka zamani upo,
Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa lako kijana, ni kawaida tu,
Makampuni hayawez kuwa yanatengeneza mpunga Bongo bila kodi
Yaan unakatwa wewe...hii nchi ngumuKwani kodi si alitakiwa alipe huyo mwenye kampuni ya matangazo au me ndy sijaelewa? Maan me naboost tangazo bado xijauza bidhaa
Wakati kuboost post siyo kupata mtejaKwani kodi si alitakiwa alipe huyo mwenye kampuni ya matangazo au me ndy sijaelewa? Maan me naboost tangazo bado xijauza bidhaa