Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Leo katika habari ITV nimemuona bwana mmoja akizungumzia mikakati ya shirika la nyumba la taifa NHC, nilishangaa aliposema shirika lake linafanya hayo linayoyafanya ili kutekeleza ilani ya CCM, kana kwamba hiyo haitoshi akasema eti hawataki ifikapo 2015, wawe ni kati ya watakaokuwa wamesababisha serikali iliyoko madarakani ishindwe kufikia malengo yake. Hapo ndo nikaanza kujiuliza hilo swali hapo juu.