Ukweli usemwe tu,
Millenial wameishia kuwa wahanga wa program za kibepari kutoka kwa mababi zetu. Bado wanaimani potofu, bado hawana uhuru wa kifikra..
Ila sisi, Gen Z tumeibuka na kuanza ku question system, tunaquestion mifumo ya kikatiba, siasa na dini. Ni kwasababu tumeshuhudia millenial...