Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Historia inavyo andikwa na wazungu sio historia kamili

ndo maana wanasema Livingstone aligundua Ziwa Tanganyika
Huwa hawaangalii sana wenyeji wao wanazingatia waliotoka masafa kwa kazi hiyo, ndyo maana utasikia mtu wa kwanza kuuona kilimanjaro mountain, America, au ilo ziwa, wako kiubinafsi zaidi madhara ya widen gap ya karne ya kumi na mbili tano
 
kuna mtu mmoja alinambia kuna 99 percent ya ngorongoro creta kuwa ndio mwisho wa meli ya nuhu na ndio maana kuna asili ya shimo na vile vile wanyama wa pale ni wa ajabu
simba anapanda mti na unaweza pishana nae asikufanye kitu.....kiimani zaidi

ila najua wanasayans wataleta point zao all in all ni kujuzana tu
 
Ha ha ha... Umegundua kumbe na wewe? Halafu hii inaweza kuwa ni id ya mtu mmoja anakuja kujiigia pande. Maana anachosifia sikioni. Na ndipo wenye akili tunasoma na kucheka. Yaani mtu anajitangulizia yeye mwenyewe mpira mbele anasema amepigiwa pasi halafu anajipiga chenga tena


Wacha porojo zako
 
Acha kutishia watu bwna. Debe tupu huwa haliachi kupiga kelele siku zote. Akujue vizur we nani na inamhusu nini ungekuwa wa maana angeshakujua iila ukiona hakujui ujue si kitu cha maana na ndo maana hakujui.unaendekeza umwinyi wa kizaman sana.

Hivi ww unanijibu hivyo unanijiua vizur au kuniona humu unafikir wote nikama unavyo wachukulia. Kuwa makini sana utaumia bila kujua, chunga ulimi wako acha kubwabwaja hovyo hiyo ni onyo.
 
Acha kutishia watu bwna. Debe tupu huwa haliachi kupiga kelele siku zote. Akujue vizur we nani na inamhusu nini ungekuwa wa maana angeshakujua iila ukiona hakujui ujue si kitu cha maana na ndo maana hakujui.unaendekeza umwinyi wa kizaman sana.
Sudoku wewe ni muungwana na umemjibu kiungwana,ahsante na ubarikiwe.
 
Ha ha ha... Umegundua kumbe na wewe? Halafu hii inaweza kuwa ni id ya mtu mmoja anakuja kujiigia pande. Maana anachosifia sikioni. Na ndipo wenye akili tunasoma na kucheka. Yaani mtu anajitangulizia yeye mwenyewe mpira mbele anasema amepigiwa pasi halafu anajipiga chenga tena
ha ha ha kuna jamaa ana profile pic ya stev job. Ndio huyo .
Porojo kibao
 
Acha kutishia watu bwna. Debe tupu huwa haliachi kupiga kelele siku zote. Akujue vizur we nani na inamhusu nini ungekuwa wa maana angeshakujua iila ukiona hakujui ujue si kitu cha maana na ndo maana hakujui.unaendekeza umwinyi wa kizaman sana.
Kwan we unasemaje sasa au na ww unafuata mkumbo
 
Mkuu Copenhagen DN hapo kwa Mamajusi upo sure kweli?

Nijuavyo mimi, wale Mamajusi walikuwa ni watu wa maeneo mbalimbali ya dunia.....walikuwa kama ifuatavyo;

1.Gaspar aliyekuwa Mfalme wa Sheba alipeleka Ubani.Ubani uliashiria uhusiano wa lile tukio na Mungu

2.Melkiory aliyetoka Arabia alipeleka Dhahabu.Dhahabu iliashiria kuwa Yesu ni Mfalme.

3.Baltazar alitoka Tarse & Egypt alipeleka Manemane.Manemane iliashiria kuwa Yesu atakufa.

Hawa watu walitoka maeneo mbalimbali lakini wakakutana kwa Herode(inasemekana)

Pia hakuna ushahidi kama wote watatu walikuwa wafalme, lakini wote walikuwa Astrologers ndio maana waliweza kusoma nyota ya Yesu na kugundua kwamba haikuwa nyota ya mtu wa kawaida.

[Haya ni maandiko yasiyo rasmi]
 
Mkuu Copenhagen DN hapo kwa Mamajusi upo sure kweli?

Nijuavyo mimi, wale Mamajusi walikuwa ni watu wa maeneo mbalimbali ya dunia.....walikuwa kama ifuatavyo;

1.Gaspar aliyekuwa Mfalme wa Sheba alipeleka Ubani.Ubani uliashiria uhusiano wa lile tukio na Mungu

2.Melkiory aliyetoka Arabia alipeleka Dhahabu.Dhahabu iliashiria kuwa Yesu ni Mfalme.

3.Baltazar alitoka Tarse & Egypt alipeleka Manemane.Manemane iliashiria kuwa Yesu atakufa.

Hawa watu walitoka maeneo mbalimbali lakini wakakutana kwa Herode(inasemekana)

Pia hakuna ushahidi kama wote watatu walikuwa wafalme, lakini wote walikuwa Astrologers ndio maana waliweza kusoma nyota ya Yesu na kugundua kwamba haikuwa nyota ya mtu wa kawaida.

[Haya ni maandiko yasiyo rasmi]

CHARMILTON

Mkuu manemane ni nini? Hili swali ninajiuliza kila siku.
 
Mzuka Wanajamvi!

Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa Na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharin Na kumezwa Na nyangumi. Nadhan story mnahifaham.

Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadileo liko kati ya Yemen Na Oman.

Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.

Wale mamajus waliompelekea mwokoz wetu zawad walikuwa wakurd maeneo ya Tikrit Iraq.

Sodoma Na gomorrah ilikuwa ndio Syria.

Jezebel alikuwa mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo Sasa hivi Hezbollah wamejikita.

Mke wa musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.

Nilikuwa najiuliza uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia Na Brunei kumbe ni Otoman waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.


Aisee....yule SIMON wa Kirene...aliyelazimishwa kumsaidia YESU kubeba msalaba alikuwa anatoka wapi????
 
Back
Top Bottom