Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Sodom na gomorah ni miji ilikuwa karibu na dead sea,
inasemekana miaka mingi nyuma miji hiyo iliharibiwa na tetemeko la ardhi pamoja na volcano iliyorusha lava,mapande ya moto na kuiharibu miji hiyo miwili ,haiwezi kuwa syria,kwani syria ni mbali mno toka dead sea
 
Embu acheni porojo zenu bwana
Mkuu nakukaribisha kwenye Usharika wetu hapa Kimara iwapo wewe ni mkazi wa Dar,hapa tunatoa chakula cha roho kila jumapili ili uhimidiwe na upozwe kwa rozari ya roho mtakatifu,kumbuka ufunuo"137 inasema na yule atakaeukaribia wokovu sio mpotevu ila atakua karudi kundini ili nae awe neno,na neno litakuwa mkombozi wake duniani na mbiguni,na tumsifu yesu,.,.,..,AMEEEEEEN.
 
Sodom na gomorah ni miji ilikuwa karibu na dead sea,
inasemekana miaka mingi nyuma miji hiyo iliharibiwa na tetemeko la ardhi pamoja na volcano iliyorusha lava,mapande ya moto na kuiharibu miji hiyo miwili ,haiwezi kuwa syria,kwani syria ni mbali mno toka dead sea
Elungata ubarikiwe,una elimu ya geography vizuri kabisa,so endelea kutoa darasa,achana na makapuku.
 
Weeee yale majamaa noma.. Yani ujerumani walivyokamatwa hio laptop US walifurahi kinoma wakajua watapata macontacts na details za maana.
Wakaipeleka pentagon ili kuitoa passcode.
Walichoka wenyewe.. Porno tupu!!!
Acha kuropoka vitu usivyo vijua ww utaumia shauri yako
 
Mzuka Wanajamvi!

Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa Na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharin Na kumezwa Na nyangumi. Nadhan story mnahifaham.

Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadileo liko kati ya Yemen Na Oman.

Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.

Wale mamajus waliompelekea mwokoz wetu zawad walikuwa wakurd maeneo ya Tikrit Iraq.

Sodoma Na gomorrah ilikuwa ndio Syria.

Jezebel alikuwa mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo Sasa hivi Hezbollah wamejikita.

Mke wa musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.

Nilikuwa najiuliza uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia Na Brunei kumbe ni Otoman waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.
I salute you mkuu,ndio faida ya kuishi Europe au vipi?,tupe darasa bro.
 
Otoman ni mturuki?

FaizaFoxy kahtaan

The Ottoman dynasty was made up of the members of the imperial House of Osman (Ottoman Turkish: خاندان آل عثمان‎, Ḫānedān-ı Āl-ı ʿOsmān; Turkish: Osmanlı Hanedanı). According to Ottoman tradition, the family originated from the Kayı tribe[nb 1] branch of the Oghuz Turks,[2] under Osman I in northwestern Anatolia in the district of Bilecik Söğüt. The Ottoman dynasty, named after Osman I, ruled the Ottoman Empire from 1299 to 1922.
 
Kuwa na adabu na uchunge mdomo wako
Si unajua wanume kutoka Mkoa wa Mara tunajiamini au vipi?,nakuomba msamaha kwa makosa niliokutendea mkuu,unisamehe coz sikuzamiria au vipi?,huo ni ushauri wangu endapo utapenda au vipi?,ila kumbuka hewala si utumwa mkuu.(zingatia,maana ulimi hauna mfupa au vipi?)
 
Mzuka Wanajamvi!

Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa Na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharin Na kumezwa Na nyangumi. Nadhan story mnahifaham.

Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadileo liko kati ya Yemen Na Oman.

Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.

Wale mamajus waliompelekea mwokoz wetu zawad walikuwa wakurd maeneo ya Tikrit Iraq.

Sodoma Na gomorrah ilikuwa ndio Syria.

Jezebel alikuwa mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo Sasa hivi Hezbollah wamejikita.

Mke wa musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.

Nilikuwa najiuliza uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia Na Brunei kumbe ni Otoman waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.
Mkuu baada ya kuweka source ya kueleweka tu enjoy unaleta mishangao, kwa hiyo hiyo Syria badogo laana ya kuwatamani Malaika inawatafuna, kama ndyo hivyo nitafatilia somo la laana niwe deep
 
Back
Top Bottom