Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Kumbe Mosul ndio ile Ninawi/Nineveh ya Yonah

Historia inavyo andikwa na wazungu sio historia kamili

ndo maana wanasema Livingstone aligundua Ziwa Tanganyika
Wakati Waha walikuwa wanaogeleamo na kuvua Migebuka vizazi na vizazi
 
Ni yale marashi ya kumpaka maiti Mkuu.

Ni Yale waliyobeba kina Mariam, Magdalena na Salome kwenda kumpaka Yesu asubuhi ya kuamkia J2 ila wakakuta alishafufuka.
Asante sana kwa hii Shule sikuwahi kujua
 
Ni yale marashi ya kumpaka maiti Mkuu.

Ni Yale waliyobeba kina Mariam, Magdalena na Salome kwenda kumpaka Yesu asubuhi ya kuamkia J2 ila wakakuta alishafufuka.
Asante sana kwa hii Shule sikuwahi kujua
 
Hahaa Copenhagen Tigo ni tatizo kwa wote Biblia imetuficha kidogo ile miji ingepaswa iwe wazi
vizazi na vizazi wakashuhudie
Kuna baadhi ya miji majina hubadilika kadri wakati unavyobadilika, ikiwemo hio miji. Sometimes kutoka na sifa mbaya (kama Dosoma na Gomora), watu huamua kubadilisha majina ili kuondoa gundu
 
Hv Yule Jamaa aliemkata sikio moja ya wayahudi waliokuja kumkamata Yesu km kwenye movie tunavyoona hakuwa (wambura) wa hapo mogabiri Tarime????
 
Ila ISIS wale jamaa nimewavulia kofia.niliangalia wanavyokwenda kujitoa muhanga.aisee yaani wako normal kabisaaa.hata waswas hawana huku wana tabasamu.
 
Back
Top Bottom