Mzuka Wanajamvi,
Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharini na kumezwa na nyangumi. Nadhani story mnahifahamu.
Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadi leo liko kati ya Yemen Na Oman.
Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.
Wale mamajusi waliompelekea mwokozi wetu zawadi walikuwa wakirudi maeneo ya Tikrit Iraq.
Sodoma na Gomorrah ilikuwa ndio Syria.
Jezebel alikuwa Mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo sasa hivi Hezbollah wamejikita.
Mke wa Musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.
Nilikuwa najiuliza Uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia na Brunei kumbe ni Otoman Waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.
Kama mnavyojua vita kali inaendelea huko Iraq kuwaondoa wahuni wa ISIS Mosul. Lakini jambo la kufurahisha nimekuja kugundua huu mji wa Mosul ndio hule Yona alitumwa na Mungu kupeleka neno akala kona na kuingia chaka. Ikabidi atupwe baharini na kumezwa na nyangumi. Nadhani story mnahifahamu.
Kumbe pia Ayubu ama Job alikuwa MuOmani ama Myemeni kaburi lake hadi leo liko kati ya Yemen Na Oman.
Kumbe Pilato alikuwa Mfaransa (Gaul) ambalo lilikuwa jimbo la Kirumi.
Wale mamajusi waliompelekea mwokozi wetu zawadi walikuwa wakirudi maeneo ya Tikrit Iraq.
Sodoma na Gomorrah ilikuwa ndio Syria.
Jezebel alikuwa Mlebanoni (Phoenician) kutoka mji wa Sidon ambapo sasa hivi Hezbollah wamejikita.
Mke wa Musa Zipporah alikuwa Muafrika kutoka Ethiopia.
Nilikuwa najiuliza Uislam ulifikaje hizi nchi Malasyia, Indonesia na Brunei kumbe ni Otoman Waturuki waliufikisha huko Ata mji wa Aceh ni kituruki.