Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Rasterman

JF-Expert Member
Feb 24, 2015
33,905
44,017
Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam

Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.

Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.

Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.

Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?

 
Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Huenda makomando hilo ndio kosa lao.

R.i. P JPM
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
 
Ndio maana namchukia sana magufuli, uyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Duuh. Ilikuwa ubinadamu tu. Alijikwaa
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Ni kweli lakini Mbinguni kuna komando wa makomando yoote duniani.
 
Back
Top Bottom