Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam
Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.
Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.
Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.
Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?
Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.
Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.
Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.
Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?