N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Mnyonge / mɲɔngɛ / nomino
Wanyonge (plural)
Ngeli za nomino: a-, wa-
MAANA YA NENO:
1. mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela
2. mtu mwenye tabia ya upole na ya kunyenyekea
3. mtu wa hali ya chini Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda (methali)
Synonyms (Neno mfanano) : kabwela
MY TAKE:
Hapo kwenye neno mfanano ndiyo pamenichosha kabisa KABWELA? Kwa hiyo mtu akituita sie Wanyonge katuita nyie MAKABWELA?!!
Wanasiasa tuache kutumia neno hili halipendezi na linatweza utu wa Mtanzania.
Nyadikwa
Wanyonge (plural)
Ngeli za nomino: a-, wa-
MAANA YA NENO:
1. mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela
2. mtu mwenye tabia ya upole na ya kunyenyekea
3. mtu wa hali ya chini Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda (methali)
Synonyms (Neno mfanano) : kabwela
MY TAKE:
Hapo kwenye neno mfanano ndiyo pamenichosha kabisa KABWELA? Kwa hiyo mtu akituita sie Wanyonge katuita nyie MAKABWELA?!!
Wanasiasa tuache kutumia neno hili halipendezi na linatweza utu wa Mtanzania.
Nyadikwa