Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,099
Jambo moja ni wazi. Pale Igunga cdm inapambana na serikali and its associates(ccm and cuf) na si vyama vya siasa, hata wale updp, sau wamewekwa makusudi kupunguza kura za cdm. Tusubiri tuone.
Kama ni hivyo basi CCM wanastahili sifa kwa kuwa na mbinu za ushindi.
Hao ndio cdm wanawakujilipua,huwa wanafanya hayo kwa maslahi ya matumbo yao,na hili usiwabane mbavyo utasikia wanasema tetesi,vp tetesi kuwa viongozi wa cdm ni majambazi,tetesi kuwa chama chenu kina muelekeo hasi kwa kila kitu kinachofanywa na watu wenye mtizamo kinyume na wao.Ha! Ha! Ha! Huko ni kujiliwaza na kujifariji kwa CDM baada ya kuona mambo magumu Igunga.
Hivi tujiulize Helcopter kukodi ni kiasi gani ambacho CUF watashindwa kugharamia kulipia hiyo Helcopter! CUF wanapata Ruzuku Milioni 110 kwa mwezi, wamejenga Jengo lao wenyewe, CDM bado wanapanga pale Uswahilini Manyanya mtaa wa Ufipa Kinandoni.
Sasa Mkuu Pasco, upo maeneo ya Kirua, Vunjo Moshi Vijijini unategemea, huko utapata habari njema kwa CUF.
Kingine mbona hizo Helcopter zipo pale Nakuru Kenya wanakodisha kama Tax tu, CCM wamewanunulia CUF Helcopter au wamewakodia?
Pasco ahasnte kwa tetesi na waswahili walisema lisemwalo...
Lakini hata kama ccm itashinda ... safari ya kaburini ni lazima. CCM ya leo imechoka, inatumia rafu na ulaghai kupata kura. Usalama wa taifa, wasanii wa sanaa, polisi, wakuu wa wilaya na mikoa, fujo, ....hvi vyote vina uhusiano gani na kampeni? Imejaribu kurudia hata vikokwe vilivyostaafu siasa kuitetea lakini wapi....
Ni wazi hizi ni siku za mwisha za CCM.
chadema nao wakipata mume labda kelele zitapunguaMke ni mke tuu hata kama ana mshahara kama wako kumnunulia gauni sio jambo geni. Sasa CCM kuikodia CUF huo usafiri sio ajabu maana ni mtu na mpenziwe.
Ha! Ha! Ha! Huko ni kujiliwaza na kujifariji kwa CDM baada ya kuona mambo magumu Igunga.
Hivi tujiulize Helcopter kukodi ni kiasi gani ambacho CUF watashindwa kugharamia kulipia hiyo Helcopter! CUF wanapata Ruzuku Milioni 110 kwa mwezi, wamejenga Jengo lao wenyewe, CDM bado wanapanga pale Uswahilini Manyanya mtaa wa Ufipa Kinandoni.
Sasa Mkuu Pasco, upo maeneo ya Kirua, Vunjo Moshi Vijijini unategemea, huko utapata habari njema kwa CUF.
Kingine mbona hizo Helcopter zipo pale Nakuru Kenya wanakodisha kama Tax tu, CCM wamewanunulia CUF Helcopter au wamewakodia?
chadema nao wakipata mume labda kelele zitapungua
ritz, bahati mbaya sana mimi sio Chadema, jukumu langu ni kusema tuu nilichosikia. Kwa uswahiba wa CCM na CUF na ile ndoa yao kule ZNZ, then kukodishiana helicopter si habari mbaya, ni habari njema tuu kwani mafao ya ndoa yanawafaidia wote!.Ha! Ha! Ha! Huko ni kujiliwaza na kujifariji kwa CDM baada ya kuona mambo magumu Igunga.
Hivi tujiulize Helcopter kukodi ni kiasi gani ambacho CUF watashindwa kugharamia kulipia hiyo Helcopter! CUF wanapata Ruzuku Milioni 110 kwa mwezi, wamejenga Jengo lao wenyewe, CDM bado wanapanga pale Uswahilini Manyanya mtaa wa Ufipa Kinandoni.
Sasa Mkuu Pasco, upo maeneo ya Kirua, Vunjo Moshi Vijijini unategemea, huko utapata habari njema kwa CUF.
Kingine mbona hizo Helcopter zipo pale Nakuru Kenya wanakodisha kama Tax tu, CCM wamewanunulia CUF Helcopter au wamewakodia?
Kama ni hivyo basi CCM wanastahili sifa kwa kuwa na mbinu za ushindi.
Soma vizuri post yake utaelewa acha kukurupuka wewe.
ritz, bahati mbaya sana mimi sio Chadema, jukumu langu ni kusema tuu nilichosikia. Kwa uswahiba wa CCM na CUF na ile ndoa yao kule ZNZ, then kukodishiana helicopter si habari mbaya, ni habari njema tuu kwani mafao ya ndoa yanawafaidia wote!.