Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
unajua watu jf mtu kama ritz unapomjibu unampa kichwa cha kujiona anapost point ndo maana yuko bize kupost, nawahakikishieni mkimpotezea post zake kwa muda wa mwezi tu bila kuzijibu atajiona **** na wala hamtaona upuuzi wake, tatizo wana jf kuwa bize nae
Watu kama hao ni kuwafungia vioo watoto wao wanaenda chooni kwa kusaidiwa na magamba.