Kumbe Ben Paul shule alikua kipanga

Kumbe Ben Paul shule alikua kipanga

Ndio shida zetu watu weusi..COMPARISON & JUDGING.. " huyu ana akili, huyu hana", "huyu yuko hiv, huyu yuko vile".
What is this all for??
How does this help ?

End of a day u need to avail something on table for your loved ones regardless u had 1 or 0.
 
Ndio shida zetu watu weusi..COMPARISON & JUDGING.. " huyu ana akili, huyu hana", "huyu yuko hiv, huyu yuko vile".
What is this all for??
How does this help ?

End of a day u need to avail something on table for your loved ones regardless u had 1 or 0.
Humu kila mtu ana akili
Kila mtu anajua
Sasa na wao watuweke matokeo yao
Humu

Ova
 
Jamaa namkumbuka first year pale IFM 2011/2012 , tumetoka kwenye paper ya QM namkuta pale screen saver (geti la Makumbusho) kajiinamia namuuliza vipi bro, anasema hesabu ngumu sana, sikuwahi muona tena baada ya Ile sem 1 pale chuoni

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
So alidisco au?
 
Back
Top Bottom