Kumbe Ben Paul shule alikua kipanga

Kumbe Ben Paul shule alikua kipanga

Watu wa siku hizi!dv3 ndio kipanga?wenzenu tulikuwa tunajificha ndani Kwa muda ukipata huyo dv
Aibu,labda iwe ya penalty
Hapo kapiga kweli kitambo hicho 2010 Ila hio siku hizi ukipata unaona hujafanya kitu (kajifiche uvunguni) ingawa chuoni unapokelewa km kawaida na boom ukiotea unapewa maana div 1 wanapewa bure hawaumizi kichwa, shule nzima Ina div 1 za kupewa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ECA,
Kapasua sio mchezo mchezo, siku hizi 1 ni bure bure tu those days you must crack your head na shule km azabiz by that time (sijui siku hizi pakoje) kulikua hakuna resources za vitabu na miundo mbinu ilivyo ni changamoto you know government schools zilivyokua those days sio sasa
 
Kapasua sio mchezo mchezo, siku hizi 1 ni bure bure tu those days you must crack your head na shule km azabiz by that time (sijui siku hizi pakoje) kulikua hakuna resources za vitabu na miundo mbinu ilivyo ni changamoto you know government schools zilivyokua those days sio sasa
Hata sahivi hali ni ile ile tyuuh. Juhudi binafsi za mwanafunzi ndo zitamuokoa.
 
Back
Top Bottom