Kumbe baada ya ndoa mambo ndo yanabadilika hivi?

Kumbe baada ya ndoa mambo ndo yanabadilika hivi?

Siijui situation ya mkeo hapo home but kama mna watoto zaidi ya wawili wala usilalamike,kukimbizana na watoto mara kuwaandaa shule asubuhi (kama mama wa nyumbani) aanze kuandaa chakula cha mchana hajafua nguo zao hajafua nguo zako hajafua nguo zake hajasafisha nyumba mambo ni mengi sana kwa hawa kina mama.

Ishi nae kwa timing,mfano ijumaa kuamkia jumamosi na jumapili anakuwa free piga mambo shule zikifungwa ndiyo oya oya.uchovu unamkata mwanamke stim uishi nae ukiwa unaelewa hili hatutegemei awe active kama mlivyokuwa wachumba wakati alipokuwa akija kwako anakaa anaangalia movie kutwa nzima leo anashindia kazi anaamkia kazi haya ni mazingira mawili tofauti.
 
Nakumbuka kipindi cha uchumba Kati ya mimi na Mke wangu mambo yalikuwa safi kabisa hususani swala zima la tendo, nilipata tendo kila nilipo hitaji na kupewa ushirikiano wa hali ya juu kabisa.

Asa hivi baada ya kuingia kwenye ndoa naona mambo tofauti napewa tendo kwa ratiba maalumu pia nikipewa nakua kama nasusiwa hivi yaani no ushirikiano kama mwanzo.

Baadhi wa wanawake nini kinawabadilisheni na kuwapa kiburi baada ya kuingia ndani ya ndoa?
Ulioa wa kilimanjaro.
Nina uhakika na hili. jibu nikupe ushauri wa bure
 
Haya mambo ya masharti ndio yanafanya watu wawe na michepuko.

Hakuna haja ya kugombana na mwanamke yeye akinipa kwa zamu mimi natafuta spea taili basi abaki nalo.
 
Ndugu yangu unaisi maisha ni sex tu?
Ila tutazungumza hili swala next time
 
Unadhani Yale maigizo wanavyofanya wabunge wakati wa kampeini hua Wana penda? Na kwanini wakishinda hua wanapotea wanasubri tena muda wa kampeini ndipo Wana Rudi majimboni?
 
Maji hufuata mkondo.....mwanaume ndo mkondo wenyewe na mke ndo maji.

Kinyume na apo mwanaume utakuwa umeolewa sasa...
Ukweli 100%.

Hapo ramani imesomwa wapi maji yapitie na imesomeka!!

Hapo mwenye tatizo ni wewe mwanaume. Wewe ni mmoja ya wanaume wa ndiyo mzee.

Mwanamke tendo akunyime siku akiwa anaumwa tu tena ugonjwa serious au sababu fln fln lakini sio ratiba akupangie

Hata sisi walileta hizo lakini walikwama mapema mno.

Akikupangia ratiba muulize sababu kisha usijibu kitu.

Siku ya ratiba yake ikifika muombe akikunyima nenda mpirani rudi saa2 asbh kesho yake rudi saa7 usiku na siku akihitaji yeye mwambie leo nawewe unapumzika huhitaji.

Baada ya mwezi mwambie achague moja kuolewa au awe kimada nsani ya ndoa.

Kisha fanya maamzi.
 
Nakumbuka kipindi cha uchumba Kati ya mimi na Mke wangu mambo yalikuwa safi kabisa hususani swala zima la tendo, nilipata tendo kila nilipo hitaji na kupewa ushirikiano wa hali ya juu kabisa.

Asa hivi baada ya kuingia kwenye ndoa naona mambo tofauti napewa tendo kwa ratiba maalumu pia nikipewa nakua kama nasusiwa hivi yaani no ushirikiano kama mwanzo.

Baadhi wa wanawake nini kinawabadilisheni na kuwapa kiburi baada ya kuingia ndani ya ndoa?
"we are winning this"

TEAM KATAA NDOA
 
Kama ulitegemea kupata Furaha kwenye ndoa sahau. Kama wewe unatumia🍺 na🍗 ndio shemu ya kukupa furaha. Si unajua furaaaaahhha ni kunywa na marafikiiii
 
Nakumbuka kipindi cha uchumba Kati ya mimi na Mke wangu mambo yalikuwa safi kabisa hususani swala zima la tendo, nilipata tendo kila nilipo hitaji na kupewa ushirikiano wa hali ya juu kabisa.

Asa hivi baada ya kuingia kwenye ndoa naona mambo tofauti napewa tendo kwa ratiba maalumu pia nikipewa nakua kama nasusiwa hivi yaani no ushirikiano kama mwanzo.

Baadhi wa wanawake nini kinawabadilisheni na kuwapa kiburi baada ya kuingia ndani ya ndoa?
Sorry broo,unatombewa,niamini mimi
 
Nakumbuka kipindi cha uchumba Kati ya mimi na Mke wangu mambo yalikuwa safi kabisa hususani swala zima la tendo, nilipata tendo kila nilipo hitaji na kupewa ushirikiano wa hali ya juu kabisa.

Asa hivi baada ya kuingia kwenye ndoa naona mambo tofauti napewa tendo kwa ratiba maalumu pia nikipewa nakua kama nasusiwa hivi yaani no ushirikiano kama mwanzo.

Baadhi wa wanawake nini kinawabadilisheni na kuwapa kiburi baada ya kuingia ndani ya ndoa?
Bado hujasoma tu alama za nyakati kijana? Mwanzoni huyo mwanamke alikuwa anapambania ndoa, sasa kaipata na ana sehemu anayoita nyumbani kwake hivyo anagawa kwa vijana waliokuwa wanamsumbua ili amalizane nao. Wanawake kwa kweli mambo yao wanayajuwa wenyewe, hapo ukimuacha atalia kama anachinjwa wakati ujinga anajiletea mwenyewe.
 
Shida ni mapepo.

Unadhani haya mapepo wanayofukuza makanisani yanakimbilia wapi?

Ni kwenye hizo pete za ndoa ambazo hata hazina baraka kwa sababu viapo vyake kwa kutumia maandiko wakati watu wanavalishana ni vya kitapeli.
 
Back
Top Bottom