Kulipa kodi kubwa sio sifa

Huyo alizingua sana,na wapo watu wengi sana wanaumia kwa kutaka show off za kijinga

Fanya jambo kwa uwezo wako,iwe kwa kila kitu sifa zitakupeleka pabaya sana
 
Huyo alizingua sana,na wapo watu wengi sana wanaumia kwa kutaka show off za kijinga

Fanya jambo kwa uwezo wako,iwe kwa kila kitu sifa zitakupeleka pabaya sana
Ndio kikubwa kila mmoja aishi kwa uwezo wake. Kipindi cha nyuma nilikurupuka kwenda kupanga nyumba ya gharama kidogo kulinganisha na kipato changu baada ya miezi sita ya kwanza kuisha pesa niliyonayo mkononi haitoshi nikaongea na mwenye nyumba nikaanza kulipa miezi mitatu asee ndani ya mwaka mzima sikufanya jambo lolote la maana kila nikigeuka kodi imefika nikawa kama nimekuja mjini kumfanyia mwenye nyumba kazi. Ikabidi nikimbie
 
Bahati nzuri uliona tatizo na kulitafutua ufumbuzi,ila kuna wengine wapo kwenye hiyo shida mapaka leo,na hawajajua bado kuwa wapo kwenye shida

Inasemwa Kodi yako isizidi asilimia 40 ya kipato chako
 
ok 🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…