Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,493
- 27,212
Huyo alizingua sana,na wapo watu wengi sana wanaumia kwa kutaka show off za kijingaKuna ndugu yangu alijitutumua na kupanga nyumba ya 1M bahari beach. Nadhani alitaka kumaintain standard kwa sababu nyumbani kwao ni hukohuko.
Asee Madeni yalitaka kumuuwa kuanzia kazini hadi Madeni ya mtaani alikuja fukuzwa kwenye nyumba na hapo anadaiwa kodi ya miezi sita sasa hivi yupo juu ya mawe karudisha mpira kwa kipa.
Mimi siwezi kabisa kujitutumua kwenye vitu ambavyo sina uwezo navyo kufurahisha watu, kodi yangu ya pango ni asilimia 5 tu ya taje home yangu.
Kama mtu anapata pesa zaidi na anajenga sijaona tatizo hapo!Sasa huo ndiyo ulimbukeni wenyewe ninao usemea.
Hakuna pesa ndogo, hakuna 1m bila kuwa na 50k.
Watajitafutia tu mkuu, usiwaze kabisa dunia haipo kwa ajili ya watu waoga wa maishaNakuona umejikatia tamaa sana mkuu.
Kuna watu pia utawaacha baada yako.
We'll never get old ..old boys😀 city boy.
Of course wewe ni BOY so enjoy Boy.
✍️✍️Pesa zi zao na hata wakipata matatizo ni ya kwao na familia yao, wewe huna msaada wowote.
Kama hadhi yako ni kodi ya 20k baki ishi humo humo.
Acheni kuwa washauri kwenye pesa za watu
Ndio kikubwa kila mmoja aishi kwa uwezo wake. Kipindi cha nyuma nilikurupuka kwenda kupanga nyumba ya gharama kidogo kulinganisha na kipato changu baada ya miezi sita ya kwanza kuisha pesa niliyonayo mkononi haitoshi nikaongea na mwenye nyumba nikaanza kulipa miezi mitatu asee ndani ya mwaka mzima sikufanya jambo lolote la maana kila nikigeuka kodi imefika nikawa kama nimekuja mjini kumfanyia mwenye nyumba kazi. Ikabidi nikimbieHuyo alizingua sana,na wapo watu wengi sana wanaumia kwa kutaka show off za kijinga
Fanya jambo kwa uwezo wako,iwe kwa kila kitu sifa zitakupeleka pabaya sana
Bahati nzuri uliona tatizo na kulitafutua ufumbuzi,ila kuna wengine wapo kwenye hiyo shida mapaka leo,na hawajajua bado kuwa wapo kwenye shidaNdio kikubwa kila mmoja aishi kwa uwezo wake. Kipindi cha nyuma nilikurupuka kwenda kupanga nyumba ya gharama kidogo kulinganisha na kipato changu baada ya miezi sita ya kwanza kuisha pesa niliyonayo mkononi haitoshi nikaongea na mwenye nyumba nikaanza kulipa miezi mitatu asee ndani ya mwaka mzima sikufanya jambo lolote la maana kila nikigeuka kodi imefika nikawa kama nimekuja mjini kumfanyia mwenye nyumba kazi. Ikabidi nikimbie
Upo sawa na uzi ulio letwa sema umeelezea kwa namna tofauti.Pesa zi zao na hata wakipata matatizo ni ya kwao na familia yao, wewe huna msaada wowote.
Kama hadhi yako ni kodi ya 20k baki ishi humo humo.
Acheni kuwa washauri kwenye pesa za watu
Unaposema hivyo unakosea,kuna watu nawajua wanalipa kodi 10milion kwa mwezi na wanakaa kama wapo kwaoUnfortunately madogo na malimbuke wengi hawalitambui hili.
ok 🤝Hellow wa JF.
Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.
Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.