Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,102
- 8,006
Ya Polepole au ya mungu wenu yule mpya?Mbona unafikiri kwa makalio?
Ya Polepole au ya mungu wenu yule mpya?Mbona unafikiri kwa makalio?
Akili za "vidudu" hongera zako , wakati wao wana Balozi wao hapa, kuna waingereza kibao wapo wakiendelea na shughuli zao za kiuchumi , mbona wasikimbie kama hali yetu ya corona ni mbayaUingereza imepiga marufuku Watanzania kuingia nchini kwao sababu ya corona, undhani walishauriwa na Lissu au Mbowe? 😫
Hata kasumba ya mkuu wa nchi nayo imechangia kutubadili tabia we rais anasema "NA MTALIMIA MENO " Matajiri wataishi kama mashetani sasa hizi kauli za kuombeana tabu hazifaiKuna kasumba mbaya sana imejengeka ndani ya wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani kuwa na akili mbovu ya kuwa wanalitakia mabaya taifa letu, kisa tu wao wamepoteza mvuto wa kisiasa hapa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa kama upinzani ungekuwa unakubalika hapa Tanzania na upo ndani ya mioyo ya Watanzania, wananchi wangeikataa serikali ya CCM kwa udi na uvumba maana hakuna mtu ambaye yupo tayari kutawaliwa kwa mabavu na chama asichokitaka.
Kueneza uzushi kuwa kuna maambukizi ya COVID-19, huku mkifurahi utadhani kama huu mlipuko ukitokea hautawagusa ni uzembe wa kufikiri na kufirisika kisiasa. Mmesahau kuwa kete ya kususia bunge kwa minajiri ya kukwepa COVID-19 imesababisha mkakosa wabunge na kuporomoka kisiasa? Mbona hamjifunzi?
Mambo mengi mabaya mnaliombea taifa letu, kisa tu mmeshindwa uchaguzi. Huu ni upumbavu wa kisiasa.
Kwanini msiwe na subira mamlaka husika zikatoa taarifa kuhusu COVID-19? Kuliko kuwa mnazua uongo usio na kichwa wala miguu! Kwa nini msishinikize Serikali kutoa taarifa kamili kama kweli mnania njema na Watanzania.
Na kujikomba komba kwa watawala haiwezi kukufanya kuwa MZALENDO.Kuna kasumba mbaya sana imejengeka ndani ya wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani kuwa na akili mbovu ya kuwa wanalitakia mabaya taifa letu, kisa tu wao wamepoteza mvuto wa kisiasa hapa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa kama upinzani ungekuwa unakubalika hapa Tanzania na upo ndani ya mioyo ya Watanzania, wananchi wangeikataa serikali ya CCM kwa udi na uvumba maana hakuna mtu ambaye yupo tayari kutawaliwa kwa mabavu na chama asichokitaka.
Kueneza uzushi kuwa kuna maambukizi ya COVID-19, huku mkifurahi utadhani kama huu mlipuko ukitokea hautawagusa ni uzembe wa kufikiri na kufirisika kisiasa. Mmesahau kuwa kete ya kususia bunge kwa minajiri ya kukwepa COVID-19 imesababisha mkakosa wabunge na kuporomoka kisiasa? Mbona hamjifunzi?
Mambo mengi mabaya mnaliombea taifa letu, kisa tu mmeshindwa uchaguzi. Huu ni upumbavu wa kisiasa.
Kwanini msiwe na subira mamlaka husika zikatoa taarifa kuhusu COVID-19? Kuliko kuwa mnazua uongo usio na kichwa wala miguu! Kwa nini msishinikize Serikali kutoa taarifa kamili kama kweli mnania njema na Watanzania.
Watasema ni LissuUingereza imepiga marufuku Watanzania kuingia nchini kwao sababu ya corona, undhani walishauriwa na Lissu au Mbowe?
Kama wewe ulivyo kosa hoja nyumbani kwa mumeoUpinzani Tanzania umekosa hoja.
MstaafuTanzania awamu hii tumepatwa na laana. Wajinga na wanafiki wamepewa mamlaka ofisi mbalimbali. Halafu wananchi wanashauriwa na baadhi ya wapumbavu kuwa wawasubirie hao wajinga watoe kauli kuhusiana na uhai wao.
Corona ipo. Chukua tahadhari. Usiku huu imemchukua RC.
Wao wanaliombea heri taifa ila wazalendo maslahi wanawaona ni maadui.Kuna kasumba mbaya sana imejengeka ndani ya wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani kuwa na akili mbovu ya kuwa wanalitakia mabaya taifa letu, kisa tu wao wamepoteza mvuto wa kisiasa hapa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa kama upinzani ungekuwa unakubalika hapa Tanzania na upo ndani ya mioyo ya Watanzania, wananchi wangeikataa serikali ya CCM kwa udi na uvumba maana hakuna mtu ambaye yupo tayari kutawaliwa kwa mabavu na chama asichokitaka.
Kueneza uzushi kuwa kuna maambukizi ya COVID-19, huku mkifurahi utadhani kama huu mlipuko ukitokea hautawagusa ni uzembe wa kufikiri na kufirisika kisiasa. Mmesahau kuwa kete ya kususia bunge kwa minajiri ya kukwepa COVID-19 imesababisha mkakosa wabunge na kuporomoka kisiasa? Mbona hamjifunzi?
Mambo mengi mabaya mnaliombea taifa letu, kisa tu mmeshindwa uchaguzi. Huu ni upumbavu wa kisiasa.
Kwanini msiwe na subira mamlaka husika zikatoa taarifa kuhusu COVID-19? Kuliko kuwa mnazua uongo usio na kichwa wala miguu! Kwa nini msishinikize Serikali kutoa taarifa kamili kama kweli mnania njema na Watanzania.
Mshapigwa ban kuingia ukBoss kwani huu uzushi juu ya Covid 19 unaletwa na akina nani?
Wewe ni mkimbizi kutoka BurundiNani awakubali hawa vibaraka wa mabeberu? Wanainchi walisha wagundua kitambo saanaa. Na kwakadri wanavyoendelea watajifuta wenyewee
Wewe unatumia masaburiMbona unafikiri kwa makalio?
huko kwao ndio kuna Corona, Bora wamepiga marufuku,Uingereza imepiga marufuku Watanzania kuingia nchini kwao sababu ya corona, undhani walishauriwa na Lissu au Mbowe? 😫
Mtoa mada wewe ndiyo mwenye akili mbovu! Sisi Watanzania Wazalendo hatuiombei mabaya Nchi yetu!..
Yeye hajakukashifu lakini umeshamuita mpuuzi.Ndugu yangu kwa nini unaleta kashfa za kipuuzi?
Na inavyoonekana hizi ni pin za mwanzo mwanzo tu. Wanatest tu mitambo...dalili zinaonesha kuna fimbo zaidi zitafuata.Kuna kasumba mbaya sana imejengeka ndani ya wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani kuwa na akili mbovu ya kuwa wanalitakia mabaya taifa letu, kisa tu wao wamepoteza mvuto wa kisiasa hapa Tanzania...