Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,995
- 6,293
Wale wanaoamini corona ipo waendelee kuchukuwa tahadhari dhidi ya maambukizi. Wale wasioamini waendelee kujichanganya.
Kila mmoja ana maamuzi yake binafsi na kama mnaamini mlishinda uchaguzi kihalali basi endeleeni kuchapa kazi achaneni na Wapinzani. Fimbo ya Mungu ipo milangoni mwa Watesi wa Wapinzani.
Kila mmoja ana maamuzi yake binafsi na kama mnaamini mlishinda uchaguzi kihalali basi endeleeni kuchapa kazi achaneni na Wapinzani. Fimbo ya Mungu ipo milangoni mwa Watesi wa Wapinzani.