mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
Hapo ndo wanaposhangaa.sisi Wala hatuna muda wa kuhangaika nao..
Kenya Kuna corona,Rwanda,Burundi n.k.
Lakini Tanzania tumekaa kimyaa Wala hatuna haja ya kumtenga mtu.
Sisi tumemuachia MUNGU
Kenya Kuna corona,Rwanda,Burundi n.k.
Lakini Tanzania tumekaa kimyaa Wala hatuna haja ya kumtenga mtu.
Sisi tumemuachia MUNGU
Wapigeni marufuku basi kuingia bongo