olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 402
- 834
Nchi yenye upinzani thabiti ni imara , na nchi ikikosa upinzani madhubuti italegea. Wapinzani wa Tanzania wamekua legelege sana, Nasema haya kwa sababu hizi:-
1.Wamekua wamatukio zaidi kuliko hoja
Leo umeme ukikatika wataongea kuhusu umeme week moja, baada ya hapo ikitokea vita Israel na Palestine ,watarukia habari hizo mpaka zikose mvuto. Hapa kama watanzania upinzani wa namna hii unatukosea.
Tunataka tuone mnachukua hoja moja mpaka mwisho , hawa wapinzani wa sasa hivi ,leo watadai katiba kesho Nape akiongelea VPN hao wanahama wanaanza kutukana , kesho kutwa moto Kariakoo haooo.
Yaan hawana consistency .Badirikeni 2025 mtahangaika sana.
2.Uongozi wao una migogoro mingi sana
Kumeibuka migogoro isiyoisha ndani ya vyama vya upinzani,mfano NCCR mpaka sasa wana gombana
Chadema kuna shida kubwa sana ya uongozi wa juu ambayo inafungwa fungwa , ACT Zitto ana wamanage kidogo vijana wake.
Tatueni shida za ndani ya vyama vyenu ili muingie mtaani kama kitu kimoja, Inaumiza sana kuona vijana wadogo kama akina Lema ,Sugu ,Mnyika wapo kimya kiasi hiki ,wanasubiri uchaguzi waanze harakati .Kipindi cha JPM kuna la kusingizia kwamba mlikatazwa mikutano ,sasa mnasingizia nini?
Miezi miwili mlizunguka kanda zote kwa sababu mlikua mnahubiri mambo ya bandari na katiba mpya ,sijui mmeishia wapi, mpo kimya , polisi hawawazuii ,wananchi wapo ,majukwaa yapo ,shida nini?
3.Viongozi wenu ni wahuni
Hili nalisema kwa uchungu sana , viongozi wengi wa upinzani ni wahuni wa madaraka.
Utasikia wanawahukumu Covid 19 ,hawa ni chadema ,kuwa walijipeleka bungeni how?
katika wabunge hao wana mama 19 wabunge karibu 7 ni maahawala na wake wa viongozi wakubwa ,Benson Kigaila mke wake kabisa ni mbunge wa viti maalumu, how comes?
Mnatuaminisha hamjui? Naibu katibu mkuu Salumu mwalimu ana mchumba wake aliyezaa naye ni mbuge wa viti maalumu,mnatuumiza sana wananchi na wananchama, tuwaelewe vipi?
Kaeni chini msameheane yaishe muanze upya .Watanzania wapo,majukwaa yapo njoeni na agenda safi watanzania watawapokea, CCM bila upinzani mizania itayumba , Upinzani imara unahitajika
1.Wamekua wamatukio zaidi kuliko hoja
Leo umeme ukikatika wataongea kuhusu umeme week moja, baada ya hapo ikitokea vita Israel na Palestine ,watarukia habari hizo mpaka zikose mvuto. Hapa kama watanzania upinzani wa namna hii unatukosea.
Tunataka tuone mnachukua hoja moja mpaka mwisho , hawa wapinzani wa sasa hivi ,leo watadai katiba kesho Nape akiongelea VPN hao wanahama wanaanza kutukana , kesho kutwa moto Kariakoo haooo.
Yaan hawana consistency .Badirikeni 2025 mtahangaika sana.
2.Uongozi wao una migogoro mingi sana
Kumeibuka migogoro isiyoisha ndani ya vyama vya upinzani,mfano NCCR mpaka sasa wana gombana
Chadema kuna shida kubwa sana ya uongozi wa juu ambayo inafungwa fungwa , ACT Zitto ana wamanage kidogo vijana wake.
Tatueni shida za ndani ya vyama vyenu ili muingie mtaani kama kitu kimoja, Inaumiza sana kuona vijana wadogo kama akina Lema ,Sugu ,Mnyika wapo kimya kiasi hiki ,wanasubiri uchaguzi waanze harakati .Kipindi cha JPM kuna la kusingizia kwamba mlikatazwa mikutano ,sasa mnasingizia nini?
Miezi miwili mlizunguka kanda zote kwa sababu mlikua mnahubiri mambo ya bandari na katiba mpya ,sijui mmeishia wapi, mpo kimya , polisi hawawazuii ,wananchi wapo ,majukwaa yapo ,shida nini?
3.Viongozi wenu ni wahuni
Hili nalisema kwa uchungu sana , viongozi wengi wa upinzani ni wahuni wa madaraka.
Utasikia wanawahukumu Covid 19 ,hawa ni chadema ,kuwa walijipeleka bungeni how?
katika wabunge hao wana mama 19 wabunge karibu 7 ni maahawala na wake wa viongozi wakubwa ,Benson Kigaila mke wake kabisa ni mbunge wa viti maalumu, how comes?
Mnatuaminisha hamjui? Naibu katibu mkuu Salumu mwalimu ana mchumba wake aliyezaa naye ni mbuge wa viti maalumu,mnatuumiza sana wananchi na wananchama, tuwaelewe vipi?
Kaeni chini msameheane yaishe muanze upya .Watanzania wapo,majukwaa yapo njoeni na agenda safi watanzania watawapokea, CCM bila upinzani mizania itayumba , Upinzani imara unahitajika