Kulikoni Ramadhani Kabwili (Football player)

Mkiambiwa mmetoroka Mirembe mnakataa.

Kabwili ana miaka 21, hii akaunti ipo tokea 2012 kwahiyo huyo Kabwili alijiunga JF akiwa na miaka 12?
wacha kujitetea ushajulikana bwana kabwili. Wewe kitimoto endelea kuliwa tuu. Kabwili umekuja kivingine eti unajiita kitimoto kisa wanaokupakua wanakusifu ni mtamu. Acha hizo unakubalije kupakuliwa?.
 
kabwili
ukijaribu kufanya hilo tendo labda ktk michezo ya utotoni, shukuru kama Spirit za Ushoga hazitakuingia.
Lakini kama Spirit za Ushoga zilikuingia basi huwezi kuacha kitendo hicho kamwe.
Kuna mtu alikufanyia hivyo kwa makusudi ya kukuambukiza hizo Spirit ni kama alikuingiza kwenye ulimwengu wa Ushoga bila wewe kung'amua na ni Ajent wa Ibirisi Shetani Lusifer, na wako wengi sana mitaani.
Mambo ya magic yanahusika hapo.
Mapepo ya Ushoga yalikuingia na kamwe Kwa nguvu zako huwezi kuuacha Ushoga.
Sisi waalimu tunachukua kitendo hicho kama makosa ya kutokufahamu hatari ya kujaribu vitendo hivyo.
Hapo inabidi ufanye jambo moja tu.
Mtafute Mtu wa Mungu, yaani Mchungaji aliye simama kama
Mwalimu Mwakasege wa Arusha, Au Mchungaji Katunzi wa Mtoni Mtongani Temeke. Au wengine na sio hao manabii Vijana wa miujiza.

(mwone kwa siri atakuombea kwa siri)

Akufanyie maombi ili kuyaondoa hayo Mapepo ya Ushoga ambayo yule uliyecheza naye alikuingizia Kwa makusudi na kwa nia mbaya kabisa.
Ni kama alikuroga, aliku
(initiate into cult of sodomy)
bila wewe kujua ili uwe addicted na huo mchezo ili ikiwezekana hata usioe kabisa na kuzaa watoto na kujenga familia ili uende kinyume na maagizo ya Mwenyezi Mungu aliyekuumba.
Nasema tena tafuta Mchungaji aliyesimama kama niliokutajia hapo juu.
Ili wakuombee, Mungu Ayaondoe hayo Mapepo ya Ushoga uliyoingiziwa.
La sivyo hata ufanye nini, huwezi kuuacha huo mchezo kamwe. Mapepo yanaondoka kwa njia moja tu, nayo ni Maombi ya mtu wa Mungu, mwenye nguvu za Kimungu.

NB: Vijana sio kila mnaokutana nao na kucheza nao wana nia njema na nyinyi.
Mjihadhari kwa kila mnachofanya hasa kikiwa kinyume na Neno la Mungu.

Pole sana kijana.
najua ufahamu mdogo ulipelekea kuruhusu mtu mwovu kukudhuru. Chukua hatua sasa kabla ya hali kuwa mbaya zaidi.

(Nasema hayo kupitia lile jina pekee ambalo kwalo kila binadamu apaswa kuokolewa.
Jina la Masihi Pekee, Jina la Yesu Kristo wa Nazareth)
Amen
pumba tupu khaaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom