Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,135
- 9,628
- Thread starter
- #41
Alete pua aoneDuh,
Umeamua kumsanua mapema
Alete pua aoneDuh,
Umeamua kumsanua mapema
safari za nje hakuwa anajiendea tu,kulikuwa na plan,kwa sasa ni wakati wa uchaguzi,ngoja ashinde na mipango itasetiwa na atasafiri tuHali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Unawaza boxer tu una utoto mwingi sana ndo maana bado unavaa boxer mpaka SasaMfua boxer wa Makala
Looking at thr timingHali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Watamwaga oil Kilomita zimetimiaHali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Unachoongea ni kweli, yule bwanq ni kichwa kibovu anakukaribisha kisha anakuweka live dunia ikiwa inakuona kisha anaanza kukosoa uongozi wako. Rejea ziara za Zelenzky wa Ukraine na Ramaphosa wa South Africa. Ni kiongozi gani atataka aibu ile?Nadhani bado hujamfahamu rais Donald Trump WA marekani rais ambaye hakujibu congratulations ya Samia pale aliposhinda URAIS dhidi ya Kamala . Bwana eee chezea vitu vingine na sio Yule jamaa . Samia NI heri aendelee kubaki nyumbani kuliko aibu ambayo itamkuta siku akienda USA