Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,409
inategemea na aina ya matiti yenyewe...bolibo,konzi,sindano,teremka tukaze, saa sita au yale yanayosimama akipiga deki!
i cant u
inategemea na aina ya matiti yenyewe...bolibo,konzi,sindano,teremka tukaze, saa sita au yale yanayosimama akipiga deki!
hahahahahaha......we hunitakii mema wewe nshakushtukia
basi mie huwa nakumiss sana tu......
Ha ha ha ha, hapo kwenye picha nilikuwa mzee, sasa hivi nina miaka 16 tu
tena yakiwa makubwa kama matikiti maji kama yale ya heaven on earth, wakati wa kuendesha najilaza kwa nyumaSi ununue...tupande bure lol
Mi napita tu
kwani gest ztakuwa mbali....? Ila Mengne hata hayashtui unaweza dhani umeegemezewa kitambi.
Haahaahaaa🙂 Haya yasimamay0 wakati wa kudeki huwa tunayaita WIND S0CK (kama fuk0 la kujuza ueleke0 wa upep0 kwenye viwanja vya ndege)
mi akianza kunigusisha na matiti yake tunashuka njiani
Kuna mwenye bodaboda, nna saa sita.
imagine kitakachofuataHahahahahaaa......
Juzi nilikua sehemu nimejibanza nawasikiliza wadada 2 wakiongea...
Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..
Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....
Wadau hapa mna maoni gani??
hapa unazungumzia kama yale ya asha mashuzi enhe?lolMengine mizigo lazma aumwe mgongo lol
hapa unazungumzia kama yale ya asha mashuzi enhe?lol