Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Bora wewe utafanya hivyo hao wengine wanataka kusababisha ajali tu ha ha hami akianza kunigusisha na matiti yake tunashuka njiani
Bora wewe utafanya hivyo hao wengine wanataka kusababisha ajali tu ha ha hami akianza kunigusisha na matiti yake tunashuka njiani
umeona eeeh,,,,ajali haitokei tena na tukitoka hapo namfikisha anakoenda hakuna tena kugusisha na matitiBora wewe utafanya hivyo hao wengine wanataka kusababisha ajali tu ha ha ha
Inategemea na aina ya matiti yenyewe...bolibo,konzi,sindano,teremka tukaze, saa sita au yale yanayosimama akipiga deki!
Juzi nilikua sehemu nimejibanza nawasikiliza wadada 2 wakiongea...
Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..
Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....
Wadau hapa mna maoni gani??
Kuna mwenye bodaboda, nna saa sita.
try me Konnie...halafu ya kwangu ina siti belti kabisa....nikikubana hapo mgongoni ni full kunichomachoma hakuna kutikisika
Mengine mizigo lazma aumwe mgongo lol
Mh.....nafikiri pia itategemea na aina ya matiti......najaribu kuvuta picture....
Hahahaa nimecheka
try me Konnie...halafu ya kwangu ina siti belti kabisa....nikikubana hapo mgongoni ni full kunichomachoma hakuna kutikisika