Kulaziwa matiti mgongoni...

Kulaziwa matiti mgongoni...

Hahahahaha jamani watu8 unapenda raha kama paka wa kimanga lol

heheh halafu na ule upepo unopiga juu ya bodaboda unakuwa unachagizwa na kajoto ka blanketi chapa mtu...nani atataka kufikisha mteja mapema....teh teh!!!
 
Last edited by a moderator:
Alyayu Alyayuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Taratibu jamani.........kuna wengine wazazi wetu ndio usafiri kule kijijini.....msije ikawa mnajitusi wenyewe hapa. Kuweni makini.

mkuu samahani sana, naomba usinielewe vibaya, hapa nawaongelea wa "dada" na sio "mama"..........hata mtoa mada hajasema wamama....tafadhali, tafadhali sana
 
bila shaka utakuwa uliegemewa na wale wamama wanaoficha kila kitu kwenye matiti...si ajabu huyo aliyekuegemea alificha Nokia Tochi huko

hahahahahaha...ila sio wamama bana ni wadada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom