umejuaje farkhina kama yako vile.
Mebahatisha lol
Last edited by a moderator:
umejuaje farkhina kama yako vile.
But you know baby where to find me...ni pm basiiii
tena yakiwa makubwa kama matikiti maji kama yale ya heaven on earth, wakati wa kuendesha najilaza kwa nyuma
Ukiwa na mpenzi baunsa, unajiandaa kila siku maana 'mwana wa Adamu' hana saa wala siku, any time kinanukauna utani wa ngumi wewe.........leo usiku dawa yako iko jikoni..jiandae
mbona kama kunakitu umekumbuka Lady doctor tushirikishane.
hahahahahaa....hata picha inanielewesha..hahahahah
Juzi nilikua sehemu nimejibanza nawasikiliza wadada 2 wakiongea...
Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..
Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....
Wadau hapa mna maoni gani??