Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Basi mpige mambo ya juice za tende,mchicha wa tangawizi
Parachichi,
Karanga karanga hivi
Ukiona halainiki kuna tatizo!

Wangu akileta visanga nawahi jogoo la alfajiri ikishazama anaitikia mara kashika kiuno mara hivi mara vile....mechi inanoga!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wifi bwana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.
Ajuza heshema yako
 
Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.
HUYU ATAKUA NYUKI MASIKIONI MWA MSHKAJI, MTU KILA UZI UNAMLAUMU MMUMEO MITANDAONI, HUKO NYUMBANI ITAKUWAJE?? HATA MIMI NINGEHAMA NA NYUMBA KABISA AU NARUDI BWAX KILA SIKU.
 
Back
Top Bottom