Ila ndoto ni kawaida tu, sidhani kama zina ukweli ingawa zaweza kukutisha. Pia coincidence zipo pia, hapa ndio watu huogopa na kuamini ktk hizo ndoto.Nimeogopa sana kwa kweli
Mi siamini katika ndoto kabisa Mkuu.kwangu ndoto ni ndoto.yaani siwezi tena kulala chali labda kama nagegedwaIla ndoto ni kawaida tu, sidhani kama zina ukweli ingawa zaweza kukutisha. Pia coincidence zipo pia, hapa ndio watu huogopa na kuamini ktk hizo ndoto.
Jizoeshe uwe unalala kifudifudi.
Kidogo ningefumuliwa rindaUliota unapigwa shoo la kibabe?
Kumbe ndo hvo. Mbona sikuwa na mate Mkuu?Mate yanaweza kujaa mdomoni na vile uko usingizini unashindwa kujicontrol.Unakuwa kama unapliwa..Vile unastrugle ndo unakuwa unahisi kama unakabwa na saa nyingine kuota mang'amung'amu..Hii sayansi nilipewa na bibi
Ahahaa nimekoma.Mende akilala chali lazima afe, unategemea huo mlalo utakuacha salama?
Taarifa zimewafikia wafumua marinda kwamba rinda bado lipoKidogo ningefumuliwa rinda
Kwani unalala na jeans?Usinitishe nianze kulala na chupi eti
Hiyo ni moja ya sababu kwa mujibu wa bibi..Lakini pia wanasema kulala chali kunaufanya ubongo wa nyuma kushindwa kufanya kazi vizuri coz mishipa inakuwa imebanwa so damu haisafiri vizuri..Hiyo pia inachangia hiyo mijindotoKumbe ndo hvo. Mbona sikuwa na mate Mkuu?
Yaani nikilala style ya kifo cha mende huwa naota ndoto mbaya mbaya sana
Jana nilitoka kwenye party usiku nikawa nimechoka nikaoga nikajitupa tu kitandani kifo cha mende nilitaka nijiegeshe tu niamke hata nivae kinight dress ,kumbe nilipitiwa usingizi .nimeshtushwa na lindoto limoja hatare sana. Shida ni nini wakuu .hili pozi halinifai kabisa.
ulikua uchi sioYaani nikilala style ya kifo cha mende huwa naota ndoto mbaya mbaya sana
Jana nilitoka kwenye party usiku nikawa nimechoka nikaoga nikajitupa tu kitandani kifo cha mende nilitaka nijiegeshe tu niamke hata nivae kinight dress ,kumbe nilipitiwa usingizi .nimeshtushwa na lindoto limoja hatare sana. Shida ni nini wakuu .hili pozi halinifai kabisa.
YA ULIVYOLALA
Ulikuta nini kwenye nani???Yaani nikilala style ya kifo cha mende huwa naota ndoto mbaya mbaya sana
Jana nilitoka kwenye party usiku nikawa nimechoka nikaoga nikajitupa tu kitandani kifo cha mende nilitaka nijiegeshe tu niamke hata nivae kinight dress ,kumbe nilipitiwa usingizi .nimeshtushwa na lindoto limoja hatare sana. Shida ni nini wakuu .hili pozi halinifai kabisa.
KwishneiYaani nikilala style ya kifo cha mende huwa naota ndoto mbaya mbaya sana
Jana nilitoka kwenye party usiku nikawa nimechoka nikaoga nikajitupa tu kitandani kifo cha mende nilitaka nijiegeshe tu niamke hata nivae kinight dress ,kumbe nilipitiwa usingizi .nimeshtushwa na lindoto limoja hatare sana. Shida ni nini wakuu .hili pozi halinifai kabisa.