Kulala Kifo cha mende kibaya sana kunanitesa

Kulala Kifo cha mende kibaya sana kunanitesa

Sijajua kama ni kweli ila nasikia kulalia mgongo huwa kunaambatana na ndoto mbaya, mimi hulalia tumbo hivyo sioti oti hovyo!
Kulala kifo cha mende unamaanisha unalalia mgongo na miguu umeikunja kama kuku aliyenyonyolewa au??
 
Si ndio sababu unasema ulishtuka coz kibwengo ndio kilikuwa kinakaribia kuanza kazi. Kwanza una bahati sana coz ungekuwa unaongea mengine sasa hiv.
Wewe umenielewa.ni kinini kile Mkuu?
 
Yaani nikilala style ya kifo cha mende huwa naota ndoto mbaya mbaya sana
Jana nilitoka kwenye party usiku nikawa nimechoka nikaoga nikajitupa tu kitandani kifo cha mende nilitaka nijiegeshe tu niamke hata nivae kinight dress ,kumbe nilipitiwa usingizi .nimeshtushwa na lindoto limoja hatare sana. Shida ni nini wakuu .hili pozi halinifai kabisa.
Itakua umepigwa vingi sana,hujaona ubichibichi kwa pants? Mwanamke halali kwa style hiyo aisee labda anazaa au anashughulikiwa
 
Kifo cha mende Ni kulala chali huku miguu umeinyanyua juu,sitaki kuamini kuwa ulilala hivyo ila unamaanisha ulilala chali na sio kifo cha mende.
 
Yaani nikilala style ya kifo cha mende huwa naota ndoto mbaya mbaya sana
Jana nilitoka kwenye party usiku nikawa nimechoka nikaoga nikajitupa tu kitandani kifo cha mende nilitaka nijiegeshe tu niamke hata nivae kinight dress ,kumbe nilipitiwa usingizi .nimeshtushwa na lindoto limoja hatare sana. Shida ni nini wakuu .hili pozi halinifai kabisa.
Usiku usishibe sana kula light diet na fruits
Usipende kulala ukiwa tumbo ndiii ili digestion itake place sawasawa
Lala tumbo likiwa na space
 
Kifo cha mende Ni kulala chali huku miguu umeinyanyua juu,sitaki kuamini kuwa ulilala hivyo ila unamaanisha ulilala chali na sio kifo cha mende.

Nililala kifo cha mende sema miguu niliikunja
 
Usiku usishibe sana kula light diet na fruits
Usipende kulala ukiwa tumbo ndiii ili digestion itake place sawasawa
Lala tumbo likiwa na space
Sawa Mkuu nimekula nanasi zima hapa sili tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom