Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Mfano mzuri ni kona ya Barabara ya Bibi Titi Mohamed na Mtaa wa Maktaba ukiwa unatokea Mwenge. Mfano mwingine ni TAZARA kama unatoka mjini kukata kona ya kushoto kuingia Barabara ya Mandela. Utakuta madereva wanaogopa kukata kushoto kwa vile watakamatwa.
Pana sababu zipi wakamatwe?
Pana sababu zipi wakamatwe?