Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,640
- Thread starter
- #21
mchape vibao, imeandikwa usimnyime kuku mapigo maana ukimchapa hatakufa.
Utamnasia wapi hivyo vibao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchape vibao, imeandikwa usimnyime kuku mapigo maana ukimchapa hatakufa.
Jamani eeh naombeni msaada. Kuku wangu kala mtama wa jirani sasa jirani kaja juu. Anataka anipeleke mahakamani. Msaada jamani.
muambie huyo jirani yako afugulie nae kuku wake aje ale mtama wako, then u get even!:boxing:
Mpige kuku faini ya ku-trespass na umkate kwenye mshahara wake ambao ni pumba na maji
muambie huyo jirani yako afugulie nae kuku wake aje ale mtama wako, then u get even!:boxing:
nikupe mji NN unifumbulie fumbo?
Mahakama zinahukumu kuku?
Ipo pale kisutu mahakama ya Kuku...
Sitaki kumchinja bana. Kuchinja ni ukatili. Ujue kuku naye ana haki ya kuishi kama wewe ulivyo na haki hiyo.
Wewe Nyani, unamaanisha kuku ndege wa kweli au una maana kuku mwingine????? Kama ni kuku mwingine kala mtama wa jirani, mwambie naye amwachie kuku wake ale mtama wako. Hapo mtakuwa ngoma droo na kutakuwa hakuna kupelekana mahakamani tena!! Kama ungekuwa muwazi ukafafanua kwamba ni "jogoo" lako ndilo limekula mtama wa jirani ningekuelewa vizuri zaidi.Jamani eeh naombeni msaada. Kuku wangu kala mtama wa jirani sasa jirani kaja juu. Anataka anipeleke mahakamani. Msaada jamani.
Mwambie jirani amchukue huyo kuku!
<br />Nipe. <br />
<br />
Halafu hivi wewe ni BlackBerry gani?