Kuku wangu

Wewe Nyani, unamaanisha kuku ndege wa kweli au una maana kuku mwingine????? Kama ni kuku mwingine kala mtama wa jirani, mwambie naye amwachie kuku wake ale mtama wako. Hapo mtakuwa ngoma droo na kutakuwa hakuna kupelekana mahakamani tena!! Kama ungekuwa muwazi ukafafanua kwamba ni "jogoo" lako ndilo limekula mtama wa jirani ningekuelewa vizuri zaidi.

Kwani jogoo siyo kuku?
 
heeeh! mi sikujua bana, najua kijijini wote wanakuwa wakulima. wanalima mifugo na mtama!
my apologies nn. kwa hasira huyo kuku wako hafai kwa supu?manake mi sipendi chai kama kaizer!
Yeye NN hana mtama, ana kuku. Umemfahamu King'asti?<img src="images/smilies/coffee.gif" border="0" alt="" title="Coffee" smilieid="47" class="inlineimg" />
<br />
<br />
 
Uzembe ni wa jirani,kwa nn asilinde mtama wake ilihali anajua mtaani kuna kuku kama huyo wa kwako?
 
Jamani eeh naombeni msaada. Kuku wangu kala mtama wa jirani sasa jirani kaja juu. Anataka anipeleke mahakamani. Msaada jamani.
NN, Ungekuwa Mdada ningesema kuwa unamaana kuwa Shemej kamega maeneo ya Jiran,sasa kwa kuwa wewe ni Mzee mwenzangu,napata Picha kuwa yule kijana wetu katia Mimba mtoto wa Jiran na jiran ndo kalianzisha Tayar kishar shar,J5 tumeet Calabash,nikupeleke Kwa Wataalam wamfunge huyo Jiran mawazo yake
 
NN, Ungekuwa Mdada ningesema kuwa unamaana kuwa Shemej kamega maeneo ya Jiran,sasa kwa kuwa wewe ni Mzee mwenzangu,napata Picha kuwa yule kijana wetu katia Mimba mtoto wa Jiran na jiran ndo kalianzisha Tayar kishar shar,J5 tumeet Calabash,nikupeleke Kwa Wataalam wamfunge huyo Jiran mawazo yake

Nitakutafuta kaka.
 
Nitakuwa wakili wa huyo kuku, peleka mahakamani.

Ulipata festi klasi ya UDSM wewe? Tunatafuta mawakili waliopata festi klasi ya UDSM na waliofundishwa na Dkt. Majamba na yule Prof. Palamagamba (sijui nimelipatia jina lake?).

Kama una festi klasi ya UDSM nitumie PM.
 
Naomba kujua kama ni kuku wa kienyeji, wa kidhungu, kishingo au mabata maana???
 
Mwambie jirani asilete za kuleta..
Anaelewa kuna ndege angani, kuna
Kuku mitaani, na sasa ni kiangazi ..
Ndege, kuku etc walioshiba watapita ..
Walio na nja, wanaotaka akiba na
walaku lazima wata donoa donoa
Ukiwa mtam, rahisi kumze hawawezi acha..

Nawe uanze kumlisha kukuwako vema
Ukiweza mzuie asiende nyumba ya pili.
 
Mwambie jirani asilete za kuleta..
Anaelewa kuna ndege angani, kuna
Kuku mitaani, na sasa ni kiangazi ..
Ndege, kuku etc walioshiba watapita ..
Walio na nja, wanaotaka akiba na
walaku lazima wata donoa donoa
Ukiwa mtam, rahisi kumze hawawezi acha..

Nawe uanze kumlisha kukuwako vema
Ukiweza mzuie asiende nyumba ya pili.

Unapenda supu ya kuku wewe?

Na unapenda sehemu gani ya kuku? Chicken breast? thighs? backs? gizzards? liver? hearts? neck(s)? drums? wings? wingettes? feet?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom