WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,070
- 827
Wacha urongo Kaka, Lowassa ni kipenzi cha mafisadi, si cha watu. Jiwe walilolikataa waashi? Lowassa? Don't let me puke! Jiwe la msingi halitumii mabilioni kutaka litumiwe. Kwa miaka mitatu minne iliyopita, Watanzania tumekuwa na jinamizi la mafisadi kununua Ikulu. Mungu anatupenda, kapishia mbali.una mtu wake kakamatwa na bulungutu pale St Gasper, hukumwona? Kipenzi cha watu hanunui uongozi kutumia Wahindi. William Marconi.