Elections 2015 Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?

Kifupi, Lowassa ni mtu mwenye KASHFA nzito nzito za uongozi ambazo anatakiwa kusimamishwa na hata kushtakiwa. Mbali na hilo ni mtu anayetaka uongozi by any means necessary! Kiongozi huchaguliwa na watu sio haki ya mtu. Hatakiwi mtu wa aina hii kupewa uongozi atakuwa na kisasi, ni wa kuogopwa kama Ukoma!..Mimi nilikuwa mwanachama wa CCM toka mwaka 1973, ni watu kama yeye waloniondoa imani na chama hicho...
Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.

Kama kuna nia ya dhati ya upinzani kuingia ikulu, Lowassa is the mean and the way!, na pia ili litimie lile neno la Mwalimu, upinzani wa kweli, utatoka CCM!, tena kama ni kweli Lowassa ata cross, hata watu kama sisi, ambao sikuzote tumekuwa hatuna vyama, tuta reconsider our stands kuisaidia Chadema kuipiga chini CCM!, tena hili likitokea, hata hao CUF wakileta zile zao za kuleta, kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yule mgombea wao wa kudumu kwenye urais wa muungano, ni kuachana nao, wakwende zao, Mwamba wa Kaskazini, ukitinga Chadema, Chadema inachukua nchi asubuhi na mapema!, hata mimi nitatafuta jimbo!.

Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.

Tena jamaa akikross, tutailazimisha Chadema kuitagrate na ACT ndani ya UKAWA, au kwa tutamshinikiza ZZK na ACT yake wa bow down, au Chadema itoe msamaha wa bila masharti, ZZK ai disband ACT na kuirudisha ndani ya Chadema, with a united front ya opposition, hili dubwana CCM, linakwenda chini jumla!.

Pasco
 

Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.

Kama kuna nia ya dhati ya upinzani kuingia ikulu, Lowassa is the mean and the way!, na pia ili litimie lile neno la Mwalimu, upinzani wa kweli, utatoka CCM!, tena kama ni kweli Lowassa ata cross, hata watu kama sisi, ambao sikuzote tumekuwa hatuna vyama, tuta reconsider our stands kuisaidia Chadema kuipiga chini CCM!, tena hili likitokea, hata hao CUF wakileta zile zao za kuleta, kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yule mgombea wao wa kudumu kwenye urais wa muungano, ni kuachana nao, wakwende zao, Mwamba wa Kaskazini, ukitinga Chadema, Chadema inachukua nchi asubuhi na mapema!, hata mimi nitatafuta jimbo!.

Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.

Tena jamaa akikross, tutailazimisha Chadema kuitagrate na ACT ndani ya UKAWA, au kwa tutamshinikiza ZZK na ACT yake wa bow down, au Chadema itoe msamaha wa bila masharti, ZZK ai disband ACT na kuirudisha ndani ya Chadema, with a united front ya opposition, hili dubwana CCM, linakwenda chini jumla!.

Pasco

Pasco, hembu kuwa mkweli japo hata kwa unafiki,ACT +Zitto = plan C ya Lowassa ambayo sasa imekufa so plan B ni CHADEMA na inabidi ACT na Zitto lazima wawe accommodated na UKAWA/CHADEMA kwa sababu ni "step son wa Lowasa"??!!
 
Last edited by a moderator:
chadema watangaze mgombea sasa maana porojo zimekuwa nyingi sana.. tunashindwa tushike lipi.. waamue kama huyu fisadi papa anakuja wengine tujiengue taratibu. tuwaachie wenye chama sasa..
 
Mkuu Mp Kalix2, nayatafakari maneno haya kwa kina!.
Pasco


Karibu sana!
Na ukipata nafasi mwambie Mhe.kuwa zake achanganye na za Mbayuwayu.
Ajali hii ya Kisiasa iliyomkuta muda huu lazima imempatia nafasi ya kuishi muda mrefu sana kama atakaa chini nakufanya tathimini ya aina ya watu waliomzunguka toka alipokuwa Serikalini mpaka dakika ya kukatwa na Kamati ya Maadili.(A.K.A Kamati ya Maadili)

Dunia hii binadamu amezungukwa na Watu,ndugu ,wapambe,wanafiki,maadui,wasamaria wema na wapendwa. Sasa chaguo ni lako mhusika aina ipi ya kundi unataka kushiriki nacho au kuishirikisha kwenye jambo lako.


Narudia Mhe. Bado hajachelewa kama kweli lengo nikuwaleta watanzania safari ya matumaini.
Matumaini huishi hata ukifa-muhimu umeacha misingi ya matumaini au inazikwa pamoja nawe ukifa.

Sioni namna rahisi yakueleza ninachowaza au kufikiri kama kweli Mhe.Lowassa ni msafi.
Kwa kiasi naona maneno haya hapa chini yanaeleza mazingira aliyopo;


Quotes by Martin Luther King, Jr.

One who breaks an unjust law that conscience tells him is unjust, and who willingly accepts the penalty of imprisonment in order to arouse the conscience of the community over its injustice, is in reality expressing the highest respect for law.

Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

Our lives begin to end the day we become silent about things that matter.

Like an unchecked cancer, hate corrodes the personality and eats away its vital unity. Hate destroys a man's sense of values and his objectivity. It causes him to describe the beautiful as ugly and the ugly as beautiful, and to confuse the true with the false and the false with the true.

Occasionally in life there are those moments of unutterable fulfillment which cannot be completely explained by those symbols called words. Their meanings can only be articulated by the inaudible language of the heart.

A nation or civilization that continues to produce soft-minded men purchases its own spiritual death on the installment plan.

In the end, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends.

Faith is taking the first step even when you don't see the whole staircase.

Law and order exist for the purpose of establishing justice and when they fail in this purpose they become the dangerously structured dams that block the flow of social progress.

Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity.
 
Pasco,
Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.
Duh hii Kemia yako mkuu haitumikii kwa binadamu, sisi tuna akili za kufikiri na Unafiki ambao unaweza toa results tofauti kabisa. Kama ulivyosema, Lipumba, Dr.Slaa na Lowassa wote hawamuwezi Magufuli kwa sababu Magufuli yupo na chama kubwa. Chama ndicho kinampelekea mtu IKULU sio nguvu ya Mtandao na ndio maana nikasema maadam UKAWA sio chama basi hakuna atakaye ishinda CCM..

UKAWA pengine inamuhitaji Lowassa kwa fikra zao za kimaskini, maana watu walio nyuma ya Lowassa ni wachumia tumbo tu hawawezi kuleta ushindi kwa sifa gani basi? Hawa watu wana sifa gani haswa zaidi ya wao wenyewe kuahidiwa!. Kundi lote hilo lilikuwa na nguvu ndani ya chama tu kama ingefika NEC sasa maadam kisha katwa huku nje hawana influence kubwa kwa wananchi zaidi ya kuogopwa!

Na sidhani kama Lowassa atakuwa mjinga kiasi hicho cha kuhama kwa sababu ya wapambe.Hawa wote ni wakapi yalokwisha kamuliwa vya kutosha hawana tena nguvu ndani wala nje ya chama baada ya zile results zilizosomwa na CC za tano bora! ilikuwa kipigo cha mbwa (kerbu). Kama wangekuwa na uwezo wa kumfikisha IKULU tungeona nguvu zao hapo.. Lowassa kisha fundishwa adabu kuwa chama ni kikubwa kuliko yeye akae pembeni ale pension yake ya Waziri mkuu mstaafu.
 

Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.

Pasco


Mikwara ile ile mliyotumia kujaribu kuitikisha CCM mnataka kuingia nayo UKAWA!
Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Kama iko hivyo kuwa Lowassa kama Lowasa hamwezi Magufuli na kwamba anahitaji watu wengine kwanini iwe lazima yeye awe mgombea wa Uraisi? kupitia UKAWA?

Si yako vyama kama ACT-Wazalendo au DP ya Mtikila kama lengo ni ushindi si aende huko kwa lengo la kupambana Zimwi mmoja (CCM) (A.K.A Kamati ya Maadili)

 
lowassa ni kweli ananguvu kubwa ya kuitikisa ccm lkn tujiulize wakina lowassa wangap walikua ccm wakahamia chama kingine stl ccm ikamove on bila kutetereka????nnavojua ccm ni zaidi ya lowassa na tusijidanganye kwa style hii ya ukawa kuchukua walioshndwa ccm kuwa malaika kwao hatutafika,inaonekana dhahiri kuwa wenyewe kama wenyewe hawawezi kutuongoza bila kumpata mtu wa ccm yaani ccm kama ndo chuo chao cha kupata watu bora at the same time wanakiponda....tuwaeleweje wapo upande gan au ndo uchu wa madaraka???
 
Watu makini wanakua team lowasa wallikosseaa step hatua za mwisho kabisa,sasa wassije kufanya huo uzembe ukawa,wakiwa smart wanabeba nchi,hivi huyu fisadi dagaa pasco yuko wap siku Hz?
 
Wanabodi,

CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.

Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?

Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?

Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?.

Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?

Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?!.

Japo CCM ni chama kikubwa, kikongwe, na chenye nguvu, mbele ya Lowassa CCM ni chepesi kama unyoya, akipuliza tuu kinapeperuka, na hizo nguvu CCM inazojivunia, mbele ya Lowassa ni kama uzi wa utando wa buibui, ukigusa tuu umekatika!.

Wapenzi, wafuasi, na mashabiki wa Lowassa, wanachosubiri sasa ni aseme neno moja tuu na roho zao zitapoa!, akiamua kukubali matokeo kuwa kukatwa kwake ndio mwisho wa safari, na akubali na aseme wazi, "Eloi Eloi, Yemekwisha!", na kama hajakubali, atamke wazi kuianza ile safari ya ukombozi wa pili wa Mtanzania, dhidi ya mkoloni mchwa CCM, aliyelitafuna taifa letu kwa miaka 50, na akitamka tuu!, "CCM Basi!", huo ndio utakuwa mwisho wa hili zimwi linaloitwa CCM!, CCM itakuwa ni bye bye jumla, kaburini forever!, kwa sababu kazi kubwa ya kwanza ya serikali mpya, itakuwa ni kuzitaifisha mali zote za umma CCM iliyozipora na kuzipata kwa njia dhalimu kwa kuzipora toka kwa Watanzania katika kipindi cha utawala wake, na kujimilikisha kujifanya ni mali zake, yakiwemo majengo yake yote!. CCM ikiishakuwa haina kitu, hiyo sio CCM tena bali itageuka CCM mfu na tutaizika rasmi kaburini!.

Lowassa sema....
Sema usiogope sema!.

Linasubiriwa Neno tuu!.

Pasco!


Nasikia kisu cha CCM kilikuwa butu sasa anarudi kwa speed ya ajabu UKAWA sasa sijui huko atajisafisha. Pengine atafute mualovela wa kujisafishia!
 
lowassa ni kweli ananguvu kubwa ya kuitikisa ccm lkn tujiulize wakina lowassa wangap walikua ccm wakahamia chama kingine stl ccm ikamove on bila kutetereka????nnavojua ccm ni zaidi ya lowassa na tusijidanganye kwa style hii ya ukawa kuchukua walioshndwa ccm kuwa malaika kwao hatutafika,inaonekana dhahiri kuwa wenyewe kama wenyewe hawawezi kutuongoza bila kumpata mtu wa ccm yaani ccm kama ndo chuo chao cha kupata watu bora at the same time wanakiponda....tuwaeleweje wapo upande gan au ndo uchu wa madaraka???

Ha ha nadhan mzee wa vunjo ni mfano hapo!!
 

Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.

Kama kuna nia ya dhati ya upinzani kuingia ikulu, Lowassa is the mean and the way!, na pia ili litimie lile neno la Mwalimu, upinzani wa kweli, utatoka CCM!, tena kama ni kweli Lowassa ata cross, hata watu kama sisi, ambao sikuzote tumekuwa hatuna vyama, tuta reconsider our stands kuisaidia Chadema kuipiga chini CCM!, tena hili likitokea, hata hao CUF wakileta zile zao za kuleta, kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yule mgombea wao wa kudumu kwenye urais wa muungano, ni kuachana nao, wakwende zao, Mwamba wa Kaskazini, ukitinga Chadema, Chadema inachukua nchi asubuhi na mapema!, hata mimi nitatafuta jimbo!.

Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.

Tena jamaa akikross, tutailazimisha Chadema kuitagrate na ACT ndani ya UKAWA, au kwa tutamshinikiza ZZK na ACT yake wa bow down, au Chadema itoe msamaha wa bila masharti, ZZK ai disband ACT na kuirudisha ndani ya Chadema, with a united front ya opposition, hili dubwana CCM, linakwenda chini jumla!.

Pasco
Ndio kashaingia Chadema sasa,leo ufurahi kidogo,Pasco,mzee wa john mtembezi
 
Ndio kashaingia Chadema sasa,leo ufurahi kidogo,Pasco,mzee wa john mtembezi
Mkuu umenikumbusha Joni Mtembezi, nilianza kutembea kwa hatua ndogo ndogo kwa mwendo wa pole, safari ya kuzunguka na Joni Mtembezi mkubwa hunichukua hata mwezi mzima!, lakini siku hizi speed ya kutembea naye imeongezeka kwa ma mahatua makubwa makubwa na ya mwendo wa haraka hivyo safari inanichukua wiki tuu!, hali iliyopelekea wife kuanza ku mind, hivyo Joni Mtembezi nimemwacha counter ya pale sitting room kwangu (Rombo), ili kuzuia ghubu home!.

Pasco
 
Sema kipenzi cha wapenda pesa. Kama kipenz cha wengi mbona huko cc wamemfyeka?

it has no doubt Lowassa ana popularity kubwa na ana watu wengi than Magufuli! Kumfyeka kwao sio kwasbb hapendwi na watu ila ni kwasababu ya hofu walizojawa! Ogopa saana kumtendea mtu mabaya akawa kimya halafu akapata nguvu!
 
Pasco,

haya hayawi hayawi yamekuwa, sasa nasema hivi kumchinja kuku unamwelekeza Kibla unamkanyaga mbawa zake na kupanda shingo lake kisha unapitisha kisu watu wakiangalia na wengine wakishangilia, hivyo ndivyo kifo cha Lowassa na UKAWA..

Kuna watu wamenambia ili kumwondoa CCm tunahitaji mikakati kama ya Kenya lakini UKAWA hawakufanya hivyo wala Kibaki hakuwa maarufu kuliko Kenyatta wakati ule ila UMOJA wao ndio ulokuwa na nguvu zaidi ya KANU..Nqa kisha basi Umoja wa Kenya uliuondwa na undi la wanaharakati walotaka magewuzi dhidi ya MAFISADFI leo nyie mnachukua MAFISADI dhidi ya CCM ambayo ina nguvu kuliko nyie.. Hamuwezi kupata mageuzi kwa njia hiyo nawahakikishia kabisa CCM chama kubwa Lowassa na kundi ake ni wachumia tumbo rahisi sana kubomolewa.

Kwanza wataanza na yeye kisiasa wakishindwa, mwanaye ana scandal ya nyumba London inaweza ibuliwa, kesi ya EPA na Richmond zinaweza ibuliwa upya hata akisema JK ndiye mwenye mzigo (wewe ulihusika vipi?) itabidi asimamishwe yeye kugombea. JK ni rais ana kinga hata akisha achia ngazi wala hagombei tena. Kesi inapikwa mahakamani KWISHA kazi!. Muda wa Uchaguzi umekwisha..
 



Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.
Pasco

Pasco kama wewe huwa unaangalia mieleka ile ya WWE au kama kuna mtu huwa anaangalia ataelewa hoja yako.

Huwa **** mechi zinaitwa triple threat match au one man stand match. Hizi mechi mnawekwa ulingoni zaidi ya watu wawili, mshindi anatakiwa awe mmoja.

Woye mlioko ulingoni ni maadui ila yupo adui ambae labda ni giant na mwenye nguvu kuliko nyie as individual, kwa hiyo nyie weak wawili kwa mfano kama ni triple threat mna team up ili kumuondoa yule adui yenu strong/giant.

Mkishamtoa badae mechi inaendelea ila yule big threat kwenu katoka nje au mmemshinda tayari. Hapa ni triple threat match, ccm,ukawa na lowassa, ccm ni giant, kuitoa itabidi hawa weak ukawa na lawassa wateam up kuitoa ccm.

Hilo linawezekana maadui kuungana kushinda vita dhidi ya adui yao mkubwa. Wakurd hawaelewani na uturuki miaka nenda rudi, wakati huo huo islamic state ni adui wao wote, imebidi uturuki akubali vifaa vipitie kwake kwenda kwa wakurd ili kupambana na islamic state.

Huko mexico serikali kupambana na magenge ya kina el chapo huamua kushirikiana na magenge madogo ili kuteketeza magenge makubwa ya madawa ya kulevya.
 
Pasco,

haya hayawi hayawi yamekuwa, sasa nasema hivi kumchinja kuku unamwelekeza Kibla unamkanyaga mbawa zake na kupanda shingo lake kisha unapitisha kisu watu wakiangalia na wengine wakishangilia, hivyo ndivyo kifo cha Lowassa na UKAWA..

Kuna watu wamenambia ili kumwondoa CCm tunahitaji mikakati kama ya Kenya lakini UKAWA hawakufanya hivyo wala Kibaki hakuwa maarufu kuliko Kenyatta wakati ule ila UMOJA wao ndio ulokuwa na nguvu zaidi ya KANU..Nqa kisha basi Umoja wa Kenya uliuondwa na undi la wanaharakati walotaka magewuzi dhidi ya MAFISADFI leo nyie mnachukua MAFISADI dhidi ya CCM ambayo ina nguvu kuliko nyie.. Hamuwezi kupata mageuzi kwa njia hiyo nawahakikishia kabisa CCM chama kubwa Lowassa na kundi ake ni wachumia tumbo rahisi sana kubomolewa.

Kwanza wataanza na yeye kisiasa wakishindwa, mwanaye ana scandal ya nyumba London inaweza ibuliwa, kesi ya EPA na Richmond zinaweza ibuliwa upya hata akisema JK ndiye mwenye mzigo (wewe ulihusika vipi?) itabidi asimamishwe yeye kugombea. JK ni rais ana kinga hata akisha achia ngazi wala hagombei tena. Kesi inapikwa mahakamani KWISHA kazi!. Muda wa Uchaguzi umekwisha..
Kama una ndoto za kufunguliwa kesi za EPA, Richmond kipindi kabla ya uchaguzi sahau, hata wakilazimisha atakayechafuka zaidi ni Kikwete na hata kama ana kinga ni rais gani anayependa kuishi maisha ya kesi?

Ya KANU na NARIC tuwaachie wakenya tujikite na yetu ya UKAWA na Lowassa.

Kwa wasiomfahamu EL wanaweza kufikiri kaanza leo kuusaka urais, EL amejipanga kwa takriban miaka 20 ana resources zote watu, ukwasi, mbinu njema na ovu nk..bila kusahau kuwa timu yake ndiyo iliyofanikisha uchakachuaji wa 2005 na 2010.

EL ana watu hadi ndani ya usalama kwenyewe issue zote na mauchafu ya viongozi wengi anayajua ndiyo maana kaamua Ku cross line bila hofu, nani aanze kumtupia madongo? watabaki kina Makonda na Nape wasiojua lakini the big fish hutowasikia.
 
Kama una ndoto za kufunguliwa kesi za EPA, Richmond kipindi kabla ya uchaguzi sahau, hata wakilazimisha atakayechafuka zaidi ni Kikwete na hata kama ana kinga ni rais gani anayependa kuishi maisha ya kesi?

Ya KANU na NARIC tuwaachie wakenya tujikite na yetu ya UKAWA na Lowassa.

Kwa wasiomfahamu EL wanaweza kufikiri kaanza leo kuusaka urais, EL amejipanga kwa takriban miaka 20 ana resources zote watu, ukwasi, mbinu njema na ovu nk..bila kusahau kuwa timu yake ndiyo iliyofanikisha uchakachuaji wa 2005 na 2010.

EL ana watu hadi ndani ya usalama kwenyewe issue zote na mauchafu ya viongozi wengi anayajua ndiyo maana kaamua Ku cross line bila hofu, nani aanze kumtupia madongo? watabaki kina Makonda na Nape wasiojua lakini the big fish hutowasikia.
Peingine nyie ndio hamumumfahamu Lowassa, maana CCM wanamfahamu zaidi yenu mkimsoma katika magazeti tu, na wamemwaga. Kama angekuwa na nguvu hizo wasingethubutu ila walijua yote haya mapema sana na watu wake walitishiwa toka zamani kuwa akikosa Urais CCM atahamia CDM na bado CCM wamlimwaga - huwezi kufikiria hapo tu?

Pili, Lowassa akiwa Rais atakuwa rais wa Kundi lake yeye, na sio wa UKAWA maana Urais kautafuta kwa miaka 20 akiwa CCM kama ulivyosema, hao CDM wala NCCR hawakuwa naye wakati wote. Hilo kundi lake pekee kisha waahidi wizara na kushika mamlaka ya juu kabisa ya serikali yake ataweza vipi awaachie nyie ambao hamkuwa naye miaka yote?.. Na akisha apishwa akawa Rais ana kinga zote, Je,kimchagua Chenge waziri mkuu mtamfanya nini? hamtakuwa na la kusema ila kulalamika!..Ame Cross line kwa sababu ana uchu wa madaraka na huko CDM kumejaa mbumbumbu wachumia tumbo. Ebu fikiri moja kwanza Je akikosa Urais mtakuwa mtabakia na sura gani machoni mwa watu maana kuna kupata na kukosa!

Hizo Billioni mnazotegemea kupewa ili wabunge wenu waweze kuwa na fedha za kujitangaza hazitawasaidia chochote maana siku hizi watu wanakula mshiko kisha kura zao wanampa mtu mwingine. Sii wajinga hivyo na ndivyo alivyofanywa Lowassa kwenye vikao vya CC ya CCM watu walikula fedha na bado wakamwaga wengine wamesha mkimbia!...Imekula kwenu mkuu, tamaa ya fedha imewafikisha pabaya wala sii kutaka mageuzi ya kisiasa maana mngeweza hata bila yeye wala UKAWA kama mngejipanga na kusikiliza ushauri wa watu wanaojua Siasa..
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom