dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
LowassA aende upinzaniiiiiii
Akafanye nini yeye na GENGE lake sindio mabingwa wakuponda wapinza sasa kwakuwa kamwagika huku afanye kimbilio lake?? Hapana wacha akachunge mbuzi MONDULI
LowassA aende upinzaniiiiiii
haraka sana lowassa wewe ni jiwe kuu,njoo ukawa na team yako.Tushinde vita hii.
Walioimba ufisadi wa Lowassa ni CCM.
Mara kuvua gamba, n.k.
Sikumbuki popote Wapinzani walipomtaja Lowassa kuwa ni fisadi.
Ufisadi ndani ya Chama cha Mapinduzi ni MFUMO RASMI.
UKAWA wasipompokea Lowassa, maana yake ni kwamba hawataki kuuondoa madarakani mfumo wa ufisadi.
Tatizo letu ni mfumo, siyo watu au majina ya watu.
Kama kweli Ukawa wanaitakia mema nchi yetu, basi naamini wako kwenye kikao na Lowassa hivi sasa.
Mungu ibariki Tanzania.
Lowassa ameonewa kabisa,huyu bwana anafanya siasa za kimataifa kabisa kama marekani,tunaona wagombea wa urais marekani wanaanza harakati zao ndani ya chama muda mrefu sana na kujiandaa vyema...lakini kwa ccm siyo.yaani unamtaka yule ambaye atawafumbia macho....katika kundi hilo waote pale maamuzi yao yanatabirika....lowasa pekee ndiye alikuwa maamuzi magumu ambayo wakuu wa ccm hawapendi.....
Namshauri Lowassa.....nenda upinzani hasa Ukawa maana wana fremwork saffi.....ushinde urais...utapata kura za kumwaka ambazo watashindwa kuiba.
Lowassa ameonewa kabisa,huyu bwana anafanya siasa za kimataifa kabisa kama marekani,tunaona wagombea wa urais marekani wanaanza harakati zao ndani ya chama muda mrefu sana na kujiandaa vyema...lakini kwa ccm siyo.yaani unamtaka yule ambaye atawafumbia macho....katika kundi hilo waote pale maamuzi yao yanatabirika....lowasa pekee ndiye alikuwa maamuzi magumu ambayo wakuu wa ccm hawapendi.....
Namshauri Lowassa.....nenda upinzani hasa Ukawa maana wana fremwork saffi.....ushinde urais...utapata kura za kumwaka ambazo watashindwa kuiba.
Pasco
Wala hujakosea, Lowasa ni kipenzi cha wengi na waliomkata wanampenda zaidi ndiyo maana wakamkata, wamemuonea huruma, Lowasa ni mgonjwa na wangembebesha mzigo mkubwa sana zaidi ya uwezo wake.
Kwa hiyo usisikitike, kama kweli unampenda Lowasa basi ulitakiwa ufurahi.
Mimi nimefurahi.
Ngoja nikuleteeeNiletee zile pop corn za sukari..........halafu na candy floss..........hii movie ndefu sana........
Mkuu hata kwenye list of shame hukusikia jina lake au ushabiki unakutia upofu.Walioimba ufisadi wa Lowassa ni CCM.
Mara kuvua gamba, n.k.
Sikumbuki popote Wapinzani walipomtaja Lowassa kuwa ni fisadi.Ufisadi ndani ya Chama cha Mapinduzi ni MFUMO RASMI.
UKAWA wasipompokea Lowassa, maana yake ni kwamba hawataki kuuondoa madarakani mfumo wa ufisadi.
Tatizo letu ni mfumo, siyo watu au majina ya watu.
Kama kweli Ukawa wanaitakia mema nchi yetu, basi naamini wako kwenye kikao na Lowassa hivi sasa.
Mungu ibariki Tanzania.
Lowassa hajakatwa na CC kakatwa na kamati ya maadili ambayo haipo kikatiba